Yaah hapa ni muhimu kila mtu kujikinga bila kusubili kuambiwa unakuta mtu anapiga kelele ya kua iwekwe lockdown lakin mda huo yupo mtaani hasa nae anasubili serikali iseme tutailamu serikal bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hapa kila siku maagizo yanatolewa kua kama huna sababu ya kutoka usitoke bak nyumbani na kama unajua madhara ya hii ni bora ubaki kuliko kusubili kuambiwa hakuna mtu atake kuja lukwambia baki ndani ni wew na familia kuchukua hatua mapema na kufuata maagizo yanayotolewa na wataalamu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.