Recent content by Yogati

  1. Y

    Jinsi ya kupata mkopo

    Wanajamvi heshima kwenu, naombeni msaada wa mahali ninapoweza kupata mkopo usiohitaji zamana(security)tafazalini sana maana maji yanazidi unga ndugu zanguni
  2. Y

    Madhara ya kutumia sabuni kusafisha sirini

    Jf doctors naombeni msaada wenu juu ya madhara yatokanayo na kutumia sabuni mara nyingi kusafisha sehemu za siri(uke). Binafsi huwa nafanya hivyo ila kuna mahali wadada walikuwa wanaongea kuwa ina madhara though hawakufafanua zaidi. Mwenye uelewa please
  3. Y

    Wanawake wasiozaa (wagumba)...

    Aaaghrr yaani natamani nikuone nikuchape makofi angalau ma3, hivi kwani lazima kila mtu kuzaa? Haya nenda kazae nao basi au nenda kwenye hizo blogs waambie wazae usituchoshe hapa
  4. Y

    Leo nimepatikana?

    Hahahahahaaaa u have made my day, kweli jf ni kiboko ya stress
  5. Y

    Ushauri jamani

    Wanajf habarini za jioni, naombeni ushauri wenu katika hili please maana sijielewi, Mimi ni mdada mwenye mchumba na soon this year tunatarajia kufunga ndoa, kabla sijampata huyu mchumba nilikuwa na boyfriend ambaye tuliachana pasipo ugomvi na nadhani hii ilichanngiwa na distance tulokuwa nayo...
  6. Y

    Msaada- Jinsi ya kutengeneza maandazi

    Asante sana ila kuna kitu bado kinanichanganya, does it mean ukiweka hamira huweki baking powder? Au unaweza weka vyote?
  7. Y

    Msaada- Jinsi ya kutengeneza maandazi

    Ya baking powder na kukaanga kwenye mafuta
  8. Y

    Msaada- Jinsi ya kutengeneza maandazi

    Ya baking powder na kukaanga kwenye mafuta
  9. Y

    Msaada- Jinsi ya kutengeneza maandazi

    Wanajamii habari za asbh, naombeni maelekezo jinsi ya kupika maandazi yawe mazuri kwa ajili ya familia wajameni. Asanteni
  10. Y

    JB na Ray: Tumalize ubishi hapa

    Dah kweli wana JF noma, ikiletwa topic ya bongo movie mnakuwa wakali na kusema kuwa hamuangalii hizo muv, sasa hizo sifa za ray na jb mmezijulia wapi? Jst thinking aloud, tehe
  11. Y

    Bongo Movie wanaona aibu kuhudhuria msiba wa Sajuki kutokana na unafiki wao

    Hebu nisaidieni jamani mi huwa sielewi, hawa bongo movie huwa show zao zinakuwaje? Wanakuwa wanaigiza jukwaani au wanaimba au wanacheza au wanafanyaje? Mashkolo magheene
  12. Y

    Msaada: Contacts za Wema Sepetu

    Dah huko nikienda si ndo watanipiga picha kisiri then kesho yake inatoka front page na heading " Wema Sepetu amnyima usingizi mrembo, adai anatembea na mume wake, amsaka kona zote hadi global publishers" mweh!!
  13. Y

    Msaada: Contacts za Wema Sepetu

    Namba siyo mkuu hii ni ya mwanaume jina linaanza na I, am serious jamani nisaidieni
  14. Y

    Msaada: Contacts za Wema Sepetu

    Heri ya mwaka mpya ndugu zangu. Kama heading inavyosema tafadhalini naombeni mwenye contacts za huyu dada nina shida naye sana, either namba ya simu au BBM pin please. Natanguliza shukrani
Back
Top Bottom