Kwa maoni yangu ni kuwa shule za binafsi ni kama biashara nyingine tu.. Serikali iboreshe shule zake ili wazazi wawe na uchaguzi wapi wawapeleke watoto wao! Ikiwa hivyo ada za shule binafsi zitashuka kabisa na hata shule nyingine kufa!
Na kweli mpaka siku urogwe ndo utaujua! Vipo vingi tu havionekani lkn tunaviamini. Uchawi upo hata vitabu vitukufu vinasema. Endelea kutafiti utajua haya nisemayo.
Nimefuatilia kwa makini na kuona kwamba kama tunataka maendeleo ya haraka ni lazima serikali za mitaa zipewe uwezo wa kutatua kero nyingi zinazowakumba Wananchi.
Tunashuhudia barabara zinahitaji kufukiwa au kukarabati mashimo madogo tu lakini utashangaa mpaka mashimo yawe makubwa ndipo gharama...
Ukitafakari kwa kina utamuelewa anamaanisha nn uandishi mahiri huu.Wengi wa wanahabari hawajui kuwa siku moja wanaweza kuwajibika kwa habari zao!.Haya ahsante Ahmed Rajab
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.