sio ajabu ila asilimia kubwa ya wakulima ni wakipato cha chini ha wanasubili miezi 6 ili wavune sa iyo miezi wanayosubili ndo wanaishi kwa mikopo na kuuza mahindi na wanunuzi ni wajanja wanakukopesha ukivuna unawalipa huna jinsi mnaitaji mboga na mahitaji madogomadogo usipouza ayo maindi...
PATA VIFURUSHI VYA VODA KWA BEI NAFUU
WIKI
1)DAK 500 KWA 4000
2)GB 4 KWA 5000
3) DAK 70 MITANDAO YOTE KWA 4000
MWEZI
1) DAK 2000 KWA 16000
2) GB 16 KWA 22000
3) DAK 900 MITANDAO YOTE KWA 16000
4) DAK 300voda DK 20yote SMS BILA KIKOMO KWA 13000
Msaada kwa wenye uelewa na ili swala nlipiga picha kwenye cannon D90 nkachomoa memorycard nkaweka kwenye computer ili nikopi picha ikasoma afu ikatoka ikasoma tena picha 8 kati ya 80+ zilizokuwemo kama kuna njia ya kurudisha izo picha naomba mnisaidie ni za graduation
Sent using Jamii Forums...
Nataka kuwa natoa dagaa kisiwani naenda uza kahama kama kuna mwenyeji uko anafanya iyo biashara au ka kuna mwenye uelewa juu ya hiyo biashara kwa maeneo ayo naomba maelezo bado nipo kwenye research
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.