Recent content by Yoden

  1. Yoden

    Dar: Moto wazuka Magorofa ya Mwenge karibu na TRA

    Wakuu mliokaribu pambaneni kuzima. Fire bongo wanakuja mwishoni kuuza sura kwenye vyombo vya habari. La sivyo mtakuta majivu tu.
  2. Yoden

    Kigoma: Radi yaua Ng'ombe 22 wenye thamani ya mamilioni ya pesa

    Leo nya Leo nyama itakuwa bei chee kweli kigoma. Nashauri wanakigoma leo ndo siku ya kula nyama choma kama hujawai. Bahati haiji mara mbili.
  3. Yoden

    Wataalamu naomba kujua ni vitu gani vinafanya mtu kuzaa watoto warefu, Nafikiri wamarekani wengi sana ni warefu

    Mjiangalie watu wafupi mtapigwa na madem zenu coz mnachotaka sivyo mlivyo. So ili wawalizishe mnachotaka watachomekea mbegu za warefu ili ulizike. Jikubali.
  4. Yoden

    Maana ya Uhuru na uwepo wake

    Shetani awaachie watu uhuru wao. Anampango wa kukaanao mbaka lini.
  5. Yoden

    Foleni kuanzia Mlandizi hadi Ubungo

    Mim nko ubungo naenda dom. Ntawajulisha kama ni ajali au ni matengenezo ya awamu ya tano.
  6. Yoden

    Tetesi: : Oparasheni Mpunguti yatangazwa Kyela ,sasa ni kichapo kisicho na kikomo

    Bongo kuna muvi nying sana. Kifupi huwa nawashangaa wanaoangalia muvi za nje ya nchi.
  7. Yoden

    PICHA: SGR Tunnel ilikuwa Ulaya sasa ni Tanzania.

    Utani utani tanzania ndo inaondoka hivyo.
  8. Yoden

    Mungu nisaidie bado nina ndoto za kumuoa Butogwa Shija

    Mbona hujaweka no. yake tukusaidie kumwelekeza. Fanya hivyo basi tumeguswa kukusaidia.
  9. Yoden

    Sitosahau niliponusurika kuchomwa moto tulipoenda kuiba mimi na rafiki zangu

    Ho Hongera kwa kubadirika mkuu. Wachache wanaweza kuwa ushuhuda kama ww.
Back
Top Bottom