Dar: Moto wazuka Magorofa ya Mwenge karibu na TRA

Wakuu mliokaribu pambaneni kuzima. Fire bongo wanakuja mwishoni kuuza sura kwenye vyombo vya habari. La sivyo mtakuta majivu tu.
 
Kaka natamani nikujibu ila nahisi kama hutanielewa.Mimi ni mzimamoto by professional.Changamoto zetu ni nyingi sana ila mamlaka husika hautiliwi maanani na serikali.Tanzania bara ukichukua mikoa yake yote total yake hatufiki 2500(man power ni ndogo).
Hydrant ni chache sana na kiuhalisia ata zilizopo nyingi zake idara ya maji wamekua wakizichezea(mbovu hazifanyi kazi).
Firetender tu ni kiama kwa baadhi ya mikoa na wilaya na hata zilizopo ni old model tena misaada tu toka Ujerumani na Uchina.
Tuna mahitaji mengi sana ila hatupewi support kwa sababu hatutumiki direct kwa wakulu .
Nashindwa pa kuanzia na kumalizia ila amini kua fireman ni taaluma nzuri sana na ngumu pia ila kibongo bongo bado sana .Airports ngapi ndege zinatua na hakuna hata kipande cha fire horse tu kiwanjani inauma ila najipanga nitakuja eleza vizuri haya hapa.
Pia nina wazo la kuandika barua ya wazi imfikie Mheshimiwa wa Chato moja kwa moja pengine kuna vitu anaweza vitatua.Tupambane mkuu nchi isogee mbele
Ghoroma kama hili halina system za maji ya kuzimia moto kwa maana ya Hose rail hapo chini au kwenye corridors au system yeyote ya fire karibu ya jengo kiasi kwamba connection inaweza tu kufanyika hapo karibu na hata raia wa kawaida tu akapambaan na huo moto..

Masikhara na na kutowaza mbali kuna siku tunaweza kuunguza mji kama sio jiji, Watu wa zimamoto hebu acheni mifumo ya kizamani jaribu kuwa na mifumo mipya ya kupambana na mioto, maeneo ya miji yanatakiwa yawe na connection za maji ya kuzimia moto ambayo mtachukulia kwenye line za DAWASA, with your system permanent pressurized na kwa case kama hizi hata raia wengi wanakuwa trained na wanaweza kufanya kitu huku wakiwasubiri mkiwa mnakuja.. Pia anzisheni vituo vya fire brigade kwenye maeneo yenye msongamano kama Sinza, Manzese, Temeke, Mbezi nk na sio kutegemea mtoke mbali huko muende kwenye tukio..
 
Manispaa husika ilipashwa kuyakagua Siku nyingi na kuya condemn hayafai kwa usalama na maisha ya watu.Labda baada ya tukio la moto
 
Kaka natamani nikujibu ila nahisi kama hutanielewa.Mimi ni mzimamoto by professional.Changamoto zetu ni nyingi sana ila mamlaka husika hautiliwi maanani na serikali.Tanzania bara ukichukua mikoa yake yote total yake hatufiki 2500(man power ni ndogo).
Hydrant ni chache sana na kiuhalisia ata zilizopo nyingi zake idara ya maji wamekua wakizichezea(mbovu hazifanyi kazi).
Firetender tu ni kiama kwa baadhi ya mikoa na wilaya na hata zilizopo ni old model tena misaada tu toka Ujerumani na Uchina.
Tuna mahitaji mengi sana ila hatupewi support kwa sababu hatutumiki direct kwa wakulu .
Nashindwa pa kuanzia na kumalizia ila amini kua fireman ni taaluma nzuri sana na ngumu pia ila kibongo bongo bado sana .Airports ngapi ndege zinatua na hakuna hata kipande cha fire horse tu kiwanjani inauma ila najipanga nitakuja eleza vizuri haya hapa.
Pia nina wazo la kuandika barua ya wazi imfikie Mheshimiwa wa Chato moja kwa moja pengine kuna vitu anaweza vitatua.Tupambane mkuu nchi isogee mbele

Nimekuelewa mkuu, hawa watu wanafanya watu na taaluma zenu mnadharaulika kana kwamba ni maprimitive kumbe politics kills you guys, POLE SANA MKUU.

Hilo la Barua ya wazi kwa Mjomba Magu ni jambo la busara na ikimfikia anaweza kufanya kitu.
Mji mkubwa kama Dar es salaam hakuna hydrants points mitaani na maeneo muhimu kama Airport zilizo active?
Leo hii pia utashangaa tunajenga Mji Mkuu kama Dodoma lakini utashangaa hakuna fikra kama hizi from the basics kifupi tunajiendea endea..
 
Mzee umeandika vitu vizuri, lakini huwa havi apply Afrika...

Sisi watu weusi tunachukulia kila kitu poa tu...
Ghoroma kama hili halina system za maji ya kuzimia moto kwa maana ya Hose rail hapo chini au kwenye corridors au system yeyote ya fire karibu ya jengo kiasi kwamba connection inaweza tu kufanyika hapo karibu na hata raia wa kawaida tu akapambaan na huo moto..

Masikhara na na kutowaza mbali kuna siku tunaweza kuunguza mji kama sio jiji, Watu wa zimamoto hebu acheni mifumo ya kizamani jaribu kuwa na mifumo mipya ya kupambana na mioto, maeneo ya miji yanatakiwa yawe na connection za maji ya kuzimia moto ambayo mtachukulia kwenye line za DAWASA, with your system permanent pressurized na kwa case kama hizi hata raia wengi wanakuwa trained na wanaweza kufanya kitu huku wakiwasubiri mkiwa mnakuja.. Pia anzisheni vituo vya fire brigade kwenye maeneo yenye msongamano kama Sinza, Manzese, Temeke, Mbezi nk na sio kutegemea mtoke mbali huko muende kwenye tukio..
 
Hata mie nlitaka kusema hivo hivyoooo
Yani pale watu wanaokaa mle huwa siwasomi kabisa wanaishije mazingira machafu kama yale....
Samahani lakini
Wakiwa barabarani huwezi amini wanatoka mule na kijani kibichi zao
 
Ghoroma kama hili halina system za maji ya kuzimia moto kwa maana ya Hose rail hapo chini au kwenye corridors au system yeyote ya fire karibu ya jengo kiasi kwamba connection inaweza tu kufanyika hapo karibu na hata raia wa kawaida tu akapambaan na huo moto..
Masikhara na na kutowaza mbali kuna siku tunaweza kuunguza mji kama sio jiji, Watu wa zimamoto hebu acheni mifumo ya kizamani jaribu kuwa na mifumo mipya ya kupambana na mioto, maeneo ya miji yanatakiwa yawe na connection za maji ya kuzimia moto ambayo mtachukulia kwenye line za DAWASA, with your system permanent pressurized na kwa case kama hizi hata raia wengi wanakuwa trained na wanaweza kufanya kitu huku wakiwasubiri mkiwa mnakuja.. Pia anzisheni vituo vya fire brigade kwenye maeneo yenye msongamano kama Sinza, Manzese, Temeke, Mbezi nk na sio kutegemea mtoke mbali huko muende kwenye tukio..
Jengo kama hilo kwa kawaida mashariti ya serikali lazima likaguliwe na zimamoto na liwe na vifaa vya kuzimia moto kuanzia ile mitungi ya kuzimia moto hadi bomba la 'presha' ulilosema.
Wakazi wake lazima wapewe mafunzo ya kuzima moto kwa kutumia hivyo vifaa.
Sasa sijui kama hapo walitimiza hayo mashariti ukizingatia ni jengo la wababe wa vita.
Kitu kingine hapo ni jirani sana na jeshini Lugalo ambako lazina kuna gari la dharula la zima moto.
 
iundwe tume kuchunguza
EAA0Nb7U4AAAKRB.jpg:small
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom