PICHA: SGR Tunnel ilikuwa Ulaya sasa ni Tanzania.

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,744
21,194
Pamoja na ndege yetu kushikiliwa, safari inaendeleo na ndiyo hiyo katika muonekano huo.

Nimevutiwa na aina hii ya kupitisha reli ndani ya mlima ilikuwa naiona huko kwa mabeberu but soon uso kwa uso hapa hapa Nyerere land.
IMG_20190901_105126.jpg


IMG_20190901_105052.jpg


IMG_20190901_105314.jpg


IMG_20190901_105339.jpg


IMG_20190901_105208.jpg


IMG_20190901_105245.jpg


Big up kwa mafundi wa kitanzania mnaoingia kwenye historia kupitia ujenzi huu.

NYONGEZA KWA MCHANGIAJI.
soma content kwa kuelewa na kugundua nini mtoa mada amelenga.

➡Hiyo tazara inatumia umeme?
➡Hiyo tazara ni ya mwaka gani?
➡Hiyo tazara ilitumia kodi ya nani kujengwa?
➡ Hiyo tazara inatumika kwa nchi ngapi?
 
Pamoja na ndege yetu kushikiliwa, safari inaendeleo na ndiyo hiyo katika muonekano huo.

Nimevutiwa na aina hii ya kupitisha reli ndani ya mlima ilikuwa naiona huko kwa mabeberu but soon uso kwa uso hapa hapa Nyerere land.View attachment 1194797

View attachment 1194798

View attachment 1194799

View attachment 1194801

View attachment 1194802

View attachment 1194803


Big up kwa mafundi wa kitanzania mnaoingia kwenye historia kupitia ujenzi huu.
Utani utani tanzania ndo inaondoka hivyo.
 
Mahandaki ya chini yapo mengi kwenye reli ya TAZARA, hasa kutoka Mlimba hadi Uchindile Njombe, pia yapo kwenye Reli ya kati ya Mkoloni (TLR) pale Morogoro Mjini(Lukobe) hadi Kimamba hivi. Lakini mahandaki ya SGR ya sasa ni bora sana kuliko hayo ya TAZARA and the like. Kiufupi hiyo reli ya SGR ni bonge la Mradi katika miradi ya Raisi Magufuli, itatubarisha fikra sana Watanzania (Si unajua maendeleo huanza kwenye fikra). Tuvumilie tu Wanangu, mbele kuzuri.
 
Dah ingechukuliwa documentary kama wanavyofanya wale jamaa wa extreme engineering wa discovery channel, ingekuwa poa sana
 
Heading imesema SGR -Standard Gage Rail.


Kumbuka mfumo wa tazara ni mfumo wa zilipendwa ambao kwa sasa (new age) hii sgr ndiyo model.
Ulichokisifia ni hizo Tunnels ambazo Tazara zipo tangu zamani. Kabla ya kusifia fikiria kwanza dogo!!
 
Pamoja na ndege yetu kushikiliwa, safari inaendeleo na ndiyo hiyo katika muonekano huo.
Nimevutiwa na aina hii ya kupitisha reli ndani ya mlima ilikuwa naiona huko kwa mabeberu but soon uso kwa uso hapa hapa Nyerere land.View attachment 1194797
View attachment 1194798
View attachment 1194799
View attachment 1194801
View attachment 1194802
View attachment 1194803

Big up kwa mafundi wa kitanzania mnaoingia kwenye historia kupitia ujenzi huu.
Mbona Tazara ziko nyingi tu, usilale kijana jitahidi kuijua nchi yako badala ya kusifu vitu ambavyo tayari vipo.
 
Lugha ngumu sana au tatizo ni walimu labda, 👇.
Kumbuka mfumo wa tazara ni mfumo wa zilipendwa ambao kwa sasa (new age) hii sgr ndiyo model.
Reli ya Tazara imejengwa kwa zege hauna tofauti na hii unayoiona sasa pia upana wake ni tofauti na reli ya kati na hayo mahandaki yapo na yanatisha sana.
 
Back
Top Bottom