Recent content by Yo sella

  1. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    😁😁kweli kabisa zama hizi ni za maigizo mno
  2. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Ukweli mchungu dada tena ni ivo hayakuhusu achana nayo
  3. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    dada jitahidi kubalance maisha yako achana na mambo ya dada yako subiri siku yako usimdanganye na ww mwanaume wako ila ukijifanya msamaria sana utaonekan ww ndo mbaya labda kma unamtamani mwanaume wa dada yako kwasababu wanawake na huruma bna ni vitu unseparatable
  4. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Wanaume unaweza kudate na mwanamke above 25 years ambaye hana kazi wala chochote anachojishughulisha nacho?

    Mimi jibu langu kama atakalosema konde boy
  5. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Baba wa Kambo acheni kuchapa watoto wadogo wa wake zenu mnajidhalilisha

    watoto wa pwani tena wamefanya nn😂
  6. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    tatizo mawinga wanawakopa sana wale wadada
  7. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Nashauri usije ukajiroga ukapenda Mnyarwanda. Nilimpata Ughaibuni ni matatizo matupu

    kaka igweeeee umetisha sana na bonge la story nilitaka kusema we ni muongo ila ile kuscroll down nakuta ma evidence😁😁
  8. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    kwa ilo sijui kama linawezekana sana maana jna nimeweka afu 5 tu na nimeamka na afu 30 kisa kuweka 0.5 tu mechi za jna usiku zote mpka alfajiri afu unasemaje
  9. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Upolisi siyo kazi ya laana, hakuna taaluma iliyoundwa kwa ajili ya dhuluma. Kusudi la upolisi ni kulinda maisha ya wananchi

    wote ni wahuni tu in 1 way or another either alifanya anajifanya ameacha au hajawahi kufanya lakini atafanya tu
  10. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Upolisi siyo kazi ya laana, hakuna taaluma iliyoundwa kwa ajili ya dhuluma. Kusudi la upolisi ni kulinda maisha ya wananchi

    Samaki mmoja akioza ni wote wameoza ukitaka kuamini ni kazi ya laana kama watu wanavodai wapo waliostaafu wamejichimbia mpka makaburi wanasubiri siku tu
  11. Yo sella

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Nimeibiwa Laptop kwenye Treni ya SGR, wameniambia CCTV za kwenye behewa ni urembo tu, hazifanyi kazi!

    wamejua lakini kama saiv tumesanuka na mapambo wanayoweka wakt CCTV camera siku hizi zinawekwa hadi kwenye maduka ya rejareja mitaani sembuse lidubwana lililo tumia pesa na muda
  12. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Elon Musk : Vipofu sasa wataanza kuona

    kukunja baiskeli nako ni maendeleo lakini😁😁
  13. Yo sella

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    yani mtu siku ya kwanza unafika makete na unafikia kufua boxer
  14. Yo sella

    JamiiForums Tanzania TFF imepitisha Kanuni mpya—Timu isipoingia Dressing Room, itakatwa alama 5

    polisi tanzania
Back
Top Bottom