dada jitahidi kubalance maisha yako achana na mambo ya dada yako subiri siku yako usimdanganye na ww mwanaume wako ila ukijifanya msamaria sana utaonekan ww ndo mbaya labda kma unamtamani mwanaume wa dada yako kwasababu wanawake na huruma bna ni vitu unseparatable
kwa ilo sijui kama linawezekana sana maana jna nimeweka afu 5 tu na nimeamka na afu 30 kisa kuweka 0.5 tu mechi za jna usiku zote mpka alfajiri afu unasemaje
Samaki mmoja akioza ni wote wameoza ukitaka kuamini ni kazi ya laana kama watu wanavodai wapo waliostaafu wamejichimbia mpka makaburi wanasubiri siku tu
wamejua lakini kama saiv tumesanuka na mapambo wanayoweka wakt CCTV camera siku hizi zinawekwa hadi kwenye maduka ya rejareja mitaani sembuse lidubwana lililo tumia pesa na muda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.