Recent content by Yna aika

  1. Yna aika

    Mke ajiua kwa sumu ya Wadudu baada ya kupekua na kusoma SMS kwenye simu ya mumewe

    So sad.. Aliejiua kwa ajili yake ataoa mwanamke mwingine na yeye atasahaulika kwake kabisa. Mungu atusaidie
  2. Yna aika

    Ningependa kujua kwa Dar ni hospital zipi wanapima na kutoa chanjo ya homa ya ini?

    Nilifanikiwa kupima na kupata chanjo Rabininsia.
  3. Yna aika

    Ningependa kujua kwa Dar ni hospital zipi wanapima na kutoa chanjo ya homa ya ini?

    Wakuu,Habarini. Ningependa kujua kwa Dar ni hospital zipi wanapima na kutoa chanjo ya homa ya ini? Na je kwa watoto wadogo kuanzia umri gani anatakiwa kupata chanjo io. Ahsanteni.
  4. Yna aika

    Mahusiano ya mtandaoni

    Na mie Nicomment. Wangu nilikutana nae apa,alipost na nikapendezewa na thread yake. Mawasiliano yakaanza,na siku ya kwanza tunaonana moyoni mwangu kabisa nikajua yeye ndiye. Mkaka mzuri,mstaharabu sio bahili. Nikampenda,tukapendana sana tukalana sana adi mimba na sasa tuna katoto kazuri ka miezi...
  5. Yna aika

    Naombeni ushauri: Rafiki yangu amehamia kwangu na mabegi

    Pole umenikumbusha mbali. Nilimkaribisha rafiki yangu kwangu,aliomba akae wiki mbili tu ila alikaa zaidi ya miezi mitatu. Changamoto kubwa ilikua aina ya maisha yetu ni tofauti kabisa, Nikaamua kuondoka na kumuachia chumba. Ni vyema uongee nae kwanza,muelewane pamoja na urafiki ila atambue apo...
  6. Yna aika

    Wewe ni mwanamke wa aina gani?

    Natamani wanaume wote watimize majukumu yao ya ubaba kwa watoto wao.Watoto wao wajivunie kua wanababa Nmechagua kua namba mbili, Kama baba yake hatotaka tuwe familia,mwanangu sitompandikiza chuki natamani amjue baba yake na ukaribu wao ue mkubwa.
  7. Yna aika

    Mliowahi kupata wanawake/wanaume Jamii Forums, mje kutoa ushuhuda hapa ili na sisi tunaotafuta tupate morali ya kutafuta zaidi

    Namma unaandika thread yako ni inajieleza wewe ni mtu wa aina gani. Ingawa tumefichwa na fake names pamoja na avatar. Lakini tone ya maandishi yako inaelezea kinaga ubaga u mtu wa aina gani. Na wadada wengi kabla hawajaja PM lazima aangalie na thread zako zilipota u unachangia mada...
  8. Yna aika

    Msaada: Mtoto ananyonya sana

    Kuna Lactogen mkuu number moja kwa mtoto kuanzia mchanga adi miezi sita,kopo ni elfu 23. anaweza kuandaa tu kiratiba chake, USIMPE YA NG'OMBE SI MAZURI KWA MTOTO CHINI YA MWAKA MMOJA
  9. Yna aika

    Msaada: Mtoto ananyonya sana

    Ushauri ni mama ale sana,.ale vyakula vya kumpa nguvu na kuongeza maziwa na kufanya maziwa kua mazito ili mtoto ashibe. Atumie mbegu za maboga,yanasaidia kutoa maziwa lakini pia mkiosha mchele yale maji yake aoshe achemshe aeke chumvi kidogo awe anakunywa kama chai inasaidia kufanya maziwa kua...
  10. Yna aika

    Napitia magumu, nimegundua mke wangu mtarajiwa anani-cheat na jamaa ambaye anadai ni rafiki tu

    We nae unatushosha tu. Mwanaume hauna msimamo.Eti utaishije bila yeye khee!
  11. Yna aika

    Leo nmeamka na mood ya mapenzi sana

    Eeh yupo umu. Ujumbe umemfikia
  12. Yna aika

    Leo nmeamka na mood ya mapenzi sana

    Leo nmeamka na mood ya mapenzi sana. au ni hali ya khewa hii[emoji12] Dedication kwa Babe wangu,Baby dady(Meck). Darassa feat Bien-No body No body can love you better than i do baby.
  13. Yna aika

    Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

    Kuzaa kabla ya ndoa, Simshauri msichana yoyote afanye hili kosa kwa kudhamiria, Kwasababu utaishi kwa mashaka makubwa kila atakachofanya mwenzako unaona kama anakukosea,kuhisi kutokupendwa tena.
  14. Yna aika

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Aisee alosto ya umu ndani ni kubwa sana.
Back
Top Bottom