Wakuu,Habarini.
Ningependa kujua kwa Dar ni hospital zipi wanapima na kutoa chanjo ya homa ya ini?
Na je kwa watoto wadogo kuanzia umri gani anatakiwa kupata chanjo io.
Ahsanteni.
Na mie Nicomment.
Wangu nilikutana nae apa,alipost na nikapendezewa na thread yake.
Mawasiliano yakaanza,na siku ya kwanza tunaonana moyoni mwangu kabisa nikajua yeye ndiye.
Mkaka mzuri,mstaharabu sio bahili.
Nikampenda,tukapendana sana tukalana sana adi mimba na sasa tuna katoto kazuri ka miezi...
Pole umenikumbusha mbali.
Nilimkaribisha rafiki yangu kwangu,aliomba akae wiki mbili tu ila alikaa zaidi ya miezi mitatu.
Changamoto kubwa ilikua aina ya maisha yetu ni tofauti kabisa,
Nikaamua kuondoka na kumuachia chumba.
Ni vyema uongee nae kwanza,muelewane pamoja na urafiki ila atambue apo...
Natamani wanaume wote watimize majukumu yao ya ubaba kwa watoto wao.Watoto wao wajivunie kua wanababa
Nmechagua kua namba mbili,
Kama baba yake hatotaka tuwe familia,mwanangu sitompandikiza chuki natamani amjue baba yake na ukaribu wao ue mkubwa.
Namma unaandika thread yako ni inajieleza wewe ni mtu wa aina gani.
Ingawa tumefichwa na fake names pamoja na avatar.
Lakini tone ya maandishi yako inaelezea kinaga ubaga u mtu wa aina gani.
Na wadada wengi kabla hawajaja PM lazima aangalie na thread zako zilipota u unachangia mada...
Kuna Lactogen mkuu number moja kwa mtoto kuanzia mchanga adi miezi sita,kopo ni elfu 23.
anaweza kuandaa tu kiratiba chake,
USIMPE YA NG'OMBE SI MAZURI KWA MTOTO CHINI YA MWAKA MMOJA
Ushauri ni mama ale sana,.ale vyakula vya kumpa nguvu na kuongeza maziwa na kufanya maziwa kua mazito ili mtoto ashibe.
Atumie mbegu za maboga,yanasaidia kutoa maziwa lakini pia mkiosha mchele yale maji yake aoshe achemshe aeke chumvi kidogo awe anakunywa kama chai inasaidia kufanya maziwa kua...
Leo nmeamka na mood ya mapenzi sana.
au ni hali ya khewa hii[emoji12]
Dedication kwa Babe wangu,Baby dady(Meck).
Darassa feat Bien-No body
No body can love you better than i do baby.
Kuzaa kabla ya ndoa,
Simshauri msichana yoyote afanye hili kosa kwa kudhamiria,
Kwasababu utaishi kwa mashaka makubwa kila atakachofanya mwenzako unaona kama anakukosea,kuhisi kutokupendwa tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.