Na mie Nicomment.
Wangu nilikutana nae apa,alipost na nikapendezewa na thread yake.
Mawasiliano yakaanza,na siku ya kwanza tunaonana moyoni mwangu kabisa nikajua yeye ndiye.
Mkaka mzuri,mstaharabu sio bahili.
Nikampenda,tukapendana sana tukalana sana adi mimba na sasa tuna katoto kazuri ka miezi...