Recent content by ymollel

  1. ymollel

    Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

    Hii ni tabia ya watoto wa kike wa kisasa, wanapomaliza form 4, kitu kinachowajia kichwani ni kuwa na uhuru. Sasa na story za mitaani kwamba ukienda chuo unakuwa huru ila ukienda Advance unabanwa. Hili ndio swala linalowasumbua. Hapo wameshawaza kuvaa vitopu, skin jeans, kuweka nywele bleach na...
  2. ymollel

    Muungano mpya kati ya Burundi na Tanzania?

    Yaani wewe 😂😂😂😂😂 hizo Akili ni za kupimwa
  3. ymollel

    Maombi ya ushauri wa field ya kufanya

    Kwanza jiulize wewe una kipaji kipi kati hivyo, yaani hobby yako ni ipi. Kwasababu kama utasomea kozi isiyo ya hobby yako utateseka sana kutoboa na hautaweza kuwa Nondo. Kumbuka ukisomea kitu unapaswa kuwa mtekelezaji wa kazi zake kwa vitendo, kwa hiyo kama ulisomea kwa kulazimisha basi maisha...
  4. ymollel

    Utafiti: Matumizi ya simu za TECNO yamepungua sana

    Unatumia nguvu nyingi sana kuProve nothing, au uongo. Hakuna kitu rahisi duniani kama kuGoogle chochote, hiki ndicho kilichokufunga kengele. Hebu Google hapo Bei ya Betri ya iPhone 13 halafu nenda Dukani ukaangalie bei. Chukulia mama wa kitanzania amevunja kioo chake cha simu halafu...
  5. ymollel

    Utafiti: Matumizi ya simu za TECNO yamepungua sana

    Si kweli kwamba A series nyingi zina Amoled, ni IPS na pls kwa wingi, hiyo ni IPS iliyochangamka. Pili. Kuona kioo online ni tofauti na kupata kioo na kukiweka. Angalia hizo bei ni vile vioo unavyoambiwa na fundi hivi ni vile vyenye changamoto. Display ya simu ya Samsung iliyouzwa elfu 45 ...
  6. ymollel

    Utafiti: Matumizi ya simu za TECNO yamepungua sana

    Sasa wewe ndio muongo. Hapa naongelea experience wewe unaongelea zaidi bei za Alibaba na aliexpress. Hakuna siku kioo cha samsung kimewahi kuwa hiyo. Elfu 27 ni bei za kina camon 11, 12 kina pouvour. Sasa kama wewe una uwezo wa kuuza hicho kioo cha samsung cha elfu 27 ngoja aje mtu hapa...
  7. ymollel

    Utafiti: Matumizi ya simu za TECNO yamepungua sana

    Hata usiongelee mambo ya Amoled . Simu za samsung nyingi za A series ni IPS na resolution hazifiki hata full HD . Ulizia bei za vioo vyake vinazidi laki au kifupi vinazidi nusu ya bei ya simu, wakati kwa specs hizo hizo kwa tecno/infinix bei ziko chini ya 60k.
  8. ymollel

    Utafiti: Matumizi ya simu za TECNO yamepungua sana

    Umeongea kweli kabisa. Hebu angalia kioo cha samsung A10S simu ya kawaida kabisa tena copy paste ya tecno, lakini bei ni mziki. Wakati simu kama hiyo hiyo ya tecno unakuta kioo ni elfu 30 au 40. Kusifia brand ni ujinga, wewe mteja unalizwa huku muuzaji anatengeneza pesa.
  9. ymollel

    Taa zenye mwanga mweupe VS mwanga wa yellow

    Hizo K ni color temperature sio pesa. Taa inavyozidi kuwa na K kubwa basi inazidi kuwa nyeupe, na ikizidi inakuwa blue. Taa yoyote yenye chini ya 4300K basi ina mwanga wa njano, ikiwa 5000K hadi 6000K hivi , hiyo ni nyeupe, ikiwa kuanzia 8000K hadi 12000K hiyo ni Blue. Kwa mantiki hiyo basi...
  10. ymollel

    Nawezaje kuconnect wata mbili kutoka switch 2 tofauti zitoe socket moja ili tushare router

    Kuna kitu kinaitwa 2-way switch , ni switch kama ya kuwasha taa za nyumbani inayoweza kuwa 1-gang au 2- gang, ni switch ambayo ina output 2 na input moja. Yaani inaweza kufanya kazi ya kuwasha taa mbili kwa kupokezana, ukiwa umebonyeza kuelekea chini itawasha taa ya kwanza, na ukizima taa ya...
  11. ymollel

    Msaada magari ya IT ya kwenda Mwanza usiku

    Vipi kuhusu usalama?. Unapanda gari la mtu humjui, halafu yeye ndio dereva na hujui amebeba nini wala anawaza nini...... Hata akifuta dashboard huwezi kumwambia chochote
  12. ymollel

    Kila ikifika jioni socket breaker inaanza kuzima mara kwa mara

    Kagua vifaa vyote vyenye plug ya pin 3 , hivi ndio zaidi vinaweza kusababisha tripping endapo kuna muingiliano kati ya Live na Earth au Neutral na earth. Pili kama mdau alivyosema inawezekana ni overload kwakuwa hiyo mida ndio watu wanapika, wanaangalia TV , redio zimewashwa kwasababu muda huo...
  13. ymollel

    𝗨𝗻𝗮𝗷𝘂𝗮 𝗸𝘄𝗮𝗻𝗶𝗻𝗶 𝗶𝗺𝗲𝗶𝘁𝘄𝗮 𝗣𝗖 !!!

    KWA KUONGEZEA Computer zipo za aina nyingi, Super computers hizi sio pc Mainframe computers hizi sio pc Special purpose computers inaweza kuwa pc PDA s (Kama vile kindle, smart glasses etc) Personal Computers hizi ndio multipurpose/off shelf computers ambazo pia zinabebeka (PC) kama vile...
Back
Top Bottom