Nimeanza kuishabikia yanga mwaka 1994, Hadi Leo Nina miaka zaidi ya 30 Kama mshabiki. Ila kwa Hili viongozi wangu mmechemka. Mimi sio mwana ccm Ila Ni mwana yanga. Imenikera sana😣😣😣
Jibu Ni rahisi Sana. Ni ishara ya uadui wa wazi na utengano uliopo Kati ya viongozi wa serikali na wananchi. Tumezoea kushuhudia haya kwa Siri Sana kwa watu labda wachawi, majambazi nk. Inapofikia kwa kiongozi mkubwa wa Kariba yake Ni ishara mbaya Sana kwa mustakabali wa taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.