Recent content by Yesualiniitanjoo

  1. Yesualiniitanjoo

    PITBULL, Specie(aina) ya mbwa hatari iliyopigwa marufuku kufuga

    Mbwa anayemsahau boss.hiyo ni failure siyo mafanikio ya mwana sayansi
  2. Yesualiniitanjoo

    Nimesikitika sana mgeni wangu kupigwa vibao Kariakoo

    Turudi nyuma mwandishi anasema Madagascar ni waislam ila siyo ki vileeee, Hapa inaonesha m-Madagascar ni mwislam na muuza duka alimpiga mwislam mwenzie.na HUENDA baada ya kuchunguza kwa kina.however poleni.
  3. Yesualiniitanjoo

    Genius ni mtu ambaye mwili wake unakaliwa na roho ya mtu msomi iliyotoroka kutoka mbinguni?

    Roho ni Roho tu.si lazima iwe ya marehemu.kwanini haujanyoosha maelezo KUSEMA ni mtu mwenye Roho ya maarifa zaidi?? Kutoka 31:2-5 [2] Angalia, nimemwita kwa jina lake Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila ya Yuda; [3] nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi...
  4. Yesualiniitanjoo

    Inakuwaje mtu mwenye akili zake timamu anaamini mambo ya Mungu, shetani, uchawi na majini?

    Nakuombea upate tatizo litakalokufinya Hadi ujue MUNGU yupo.pili kati ya wewe na president Ruto. WA Kenya nani anauwezo kuhoji unavyojifikiri wewe. WAKATI MWINGINE ukiona jambo ni gumu kuelewa ,tazama wanaokuzidi na wamefanya lile unalolipinga.
  5. Yesualiniitanjoo

    Wabunge kama kweli mnalipenda taifa hili na kizazi chake tungeni sheria kupiga marufuku ushoga

    Ni kweli Kuna uhusiano mkubwa kati ya HALI YA KUMCHA MUNGU NA KAULI YA MKUU WA NCHI.MUNGU YUKO TAYARI KUISAIDIA NCHI ILA ANASUBIRI KAULI YA ANAYEKALIA KITI CHA UFALME.
  6. Yesualiniitanjoo

    Mke ana nabii wake na mme ana nabii wake,kila mmoja hataki nabii wa mtu mwingine

    Salaam ndugu wakuu. Kichwa cha habari chahusika hapo juu.Tunafahamu kwa uhakikika kuwa zama hizi zimekuwa na watumishi kwenye huduma ya ki nabii. Sasa nimeletewa case moja, mwanamke ana nabii anayemwamini, na mme naye hivyo hivyo ana nabii wake, ila kila nabii pia ana changamoto zake ambazo...
  7. Yesualiniitanjoo

    Tuungane Kwa pamoja kuwasemea walimu, wanakufa na njaa huku

    Sasa mwalimu mwenyewe APEWE kusimamia uchaguzi mkuu.utaona anavyoshiriki kupindisha mstari. Waanze wenyewe nasi tutafuata nyuma
  8. Yesualiniitanjoo

    Great tragedy in spiritual management

    I'm writing this to warn those of us who have decided to specialize in spiritual affairs under the umbrella of prophecy. I know a certain family is broken down because of poorly or wrong management of the prophecy. A man called john shifted from Kigoma to Dodoma and when he reached there, his...
  9. Yesualiniitanjoo

    Je, ukivamiwa na nyuki ufanyeje kujiokoa?

    Kama Kuna maji,zama humo.jifunike blanket au udongo .
  10. Yesualiniitanjoo

    Ndege ya precious Air yashindwa kutua Dodoma

    Ok imeshindwa kutuma Dodoma .imetuaje iliporudi dares salaam.
  11. Yesualiniitanjoo

    RPC Muliro kama uraiani tu mnatubambikia bange mifukoni; je, tukiomba hizo lifti katika Difenda zenu si mtatubambikia hata vichwa vya watu?

    Hamjaelewa,hii kauli ya RPC ni matokeo ya liberalization ya madam president kuwataka watende haki.kamanda ni msomi mkubwa anaongea philosophically.anaiita jamii iwe karibu na Police maana Tanzania ya Sasa siyo ya mwaka ule. Ki MSINGI mama anaitafuta haki,maana haki huinua taifa.na watendaji wake...
  12. Yesualiniitanjoo

    Karibuni Jijini Mwanza (Rock City)

    Naipenda mwanza kwa ustaarabu WA ma dreva wake.yaani wakiona pembeni Kuna kundi la watu wanashida ya kuvuka ,dreva WA mbele anasima.....WOTE wanasimama na wavuka kwa miguu wanapita,hata kama hakuna zebra. Ni nidhamu ya Hali ya juu sana. HONGERA MADREVA WA MWANZA.MUNGU AKUBARIKINI.
  13. Yesualiniitanjoo

    Yaliyonikuta na Basi la Kilimanjaro Express

    Sasa na wewe ukalipanda Tena!!!!
  14. Yesualiniitanjoo

    Never: Lissu kamwe hatokuja kuwa Kiongozi Wa nchi hii

    Inaonekana mna hofu na huyu jamaa.nibkweli huyu ndugu ni hatari kwa upande WA wanaomhofu.ushauri wangu.unganeni nae tu.
Back
Top Bottom