Ccm wajitafakari. Huu muda hakuna mjinga wajinga ni wale wanaofikiri kwa kutimia udhanifu. It is the time for practice not words. Ukawa ifikie mahali tufanye mambo kwa vitendo mahali ambapo pamaonesha chama fulani kuongoza kichukue hakuna namna nyingine
Ww ndiyo unaetamani maana hukujipanga kwa ndoa ulijipanga kwa harusi. Hiyo ndiyo shida inayokuseta. Mimi hata wazo la kutoka sina usidanganye wenzako,wewe ndiyo hukujipanga ndiyo maana unahangaika.
Pamoja lema pamoja sana chadema pamoja sana ukawa hayo ndiyo mapinduzi huru ya watanzania. Katuwakilishe walikupiga vijembe sasa wamekaa chini hawana jipya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.