Tufundisheni muhimu za likes kwa sisi wageni... Maana naona Mara tunapeana Kama makinikia Mara watu wanafurahiii... Alafu wakati ukikoment usisahau kubonyeza kitufe Cha like... Ahahaa
Wadau naomba ushauri hapa.
Mimi nilisoma na kufanikiwa kumaliza BCOM. Nimemaliza na degree ya India lakini Cha kudhangaza kazi sipati, na nikionganishwa naishia kupata vibarua tu Ila siajiliwi. Huu mwaka wa saba. Nimekaa hapa nikaona Bora nikasomee ualimu.
Je, nikitaka kusoma ualimu ni somo...
Kuna dhambi zako na dhambi za ukoo. Haijawahi kuona familia zinapitia matukio ya kufanana? Labda kila ikifika umri flani watu wanaumwa magonjwa makubwa kidunia tunaita magonjwa ya kuridhi kiroho no adhabu za kuridhi. Pia na vitu wakadhaa wakadhaa... Fuatilia Hilo utaligundua Kama sio kwako kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.