Wadau naomba ushauri hapa.
Mimi nilisoma na kufanikiwa kumaliza BCOM. Nimemaliza na degree ya India lakini Cha kudhangaza kazi sipati, na nikionganishwa naishia kupata vibarua tu Ila siajiliwi. Huu mwaka wa saba. Nimekaa hapa nikaona Bora nikasomee ualimu.
Je, nikitaka kusoma ualimu ni somo gani linauhitaji Sana?
Nilikuwa nawaza kusomea ualimu wa kiswahili, hesabu ama English. Na je MTU anaweza kusomea haya masomo yote?
Chuo gani ni kizuri?
Kwa sasa naishi Dar es Salaam
Mimi nilisoma na kufanikiwa kumaliza BCOM. Nimemaliza na degree ya India lakini Cha kudhangaza kazi sipati, na nikionganishwa naishia kupata vibarua tu Ila siajiliwi. Huu mwaka wa saba. Nimekaa hapa nikaona Bora nikasomee ualimu.
Je, nikitaka kusoma ualimu ni somo gani linauhitaji Sana?
Nilikuwa nawaza kusomea ualimu wa kiswahili, hesabu ama English. Na je MTU anaweza kusomea haya masomo yote?
Chuo gani ni kizuri?
Kwa sasa naishi Dar es Salaam