Recent content by yerewi

  1. yerewi

    +00254351886011

    Kenya...
  2. yerewi

    Jamani Kwanini Inakuwa Hivi?

    love peace: usikate tamaa. Wengine tushatuma zaidi ya email zaidi ya 2000 na barua za posta nyingi tu : na bado hatujafanyikiwa kupata dream job. #HaveFaithIn God #OnedayYes !
  3. yerewi

    Nifungue Account mpya kwa Benk gani nzuri- Tanzania??

    TANMO: Nashukuru sana kaka! !!
  4. yerewi

    Nifungue Account mpya kwa Benk gani nzuri- Tanzania??

    Wadau, nataka nifungue account mpya kwa ajili ya biashara na pia kupitishia pesa za mshahara wangu. Nishaurini bank nzuri. Ambayo hata nikiwa nje ya nchi naweza kuingizia pesa. Mfano: nipo USA na naweza kuingiza pesa kwenye account yangu. #MuhimuTafadhali .
  5. yerewi

    Peter wa p square aonyesha nyeti zake

    Kibamia kama cha watu8 : x boy wangu.
  6. yerewi

    Nimeitwa kwenye Interview TICTS

    Utamkuta mchina pale. Yupo serious kinoma
  7. yerewi

    Mume wangu anatafuta kazi

    Atapata kazi kabla mwaka huu 2014 haujaisha. Bonge la kazi....wala hutaamini. Mtakua na mahela sana....mtajenga nyumba nne na magari ya kifahari mawili mazuri sana. Mtapata mtoto wa kiume. Na mtamwita Yeremia. Trust me!!!
  8. yerewi

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Itakua ngumu kuzomea kaka. Ulinzi ni mkali sana. Kuna vijana wamechomekwa ndani utadhani na wao ni wajumbe wa bunge la katiba. Nadhani wapo kwa ajili ya wale watakao zomea...
  9. yerewi

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Viongozi wanazidi kuingia......january makamba ndani ya nyumba. #zito na wengine. #wabongo kwa ulinzi tuko juu sana. Yani hapa jamaa wako makini sana mpaka toilet
  10. yerewi

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Wabunge ndio wanazidi kuingia mjengoni......hapa mahali ni shwari kabisa. Ulinzi mkali sana. Watanzania wengi wanasubiri Hotuba ya Raisi. #Ni kama final game ya ARSENAL NA MANCHESTER mtaani. #KatibaMpya
  11. yerewi

    Swali: Ni lazima kufanya sex alfajiri na mpenzi wako?

    Yani mtu anakuamsha saa 10 au saa 11 alfajiri anataka...mdudu huo.....daah Mi hapo ndo usingizi umekolea. Mi kwakweli nimeshindwa hii kitu. Kama ni talaka niko tayari. Mi napenda kabla ya kulala saa tatu saa nne usiku au saa tatu hadi saa tano asubuhi. #Finito !!
Back
Top Bottom