Recent content by Yekevalia

  1. Yekevalia

    Uzi maalumu: Picha Tu za maendeleo mbali mbali ya ujenzi Tanzania nzima chini ya Rais Magufuli

    Hadi sheria kubadilishwa, eti kumlinda mchangiaji [emoji30] [emoji30]
  2. Yekevalia

    Dr. Shika amepotea ghafla, kulikoni?

    Bora dr, hao ndio hawaja trend kabisa, mikwara mingi kwamba ujio wao utatikisa lakini hakuna kitu. Dr ali trend huwezi linganisha na hao kabisa
  3. Yekevalia

    Trafiki anaruhusiwa kukukamata wakati hajavaa sare?

    Hapa ndipo Wabongo huwa nashindwa kuwatofautisha na viumbe vingine
  4. Yekevalia

    Kwanini Rais Magufuli hahudhurii Mazishi ya viongozi?

    Kwahiyo JK alikuwa anahudhuria misiba kutokana na kupangiwa kama taasisi? Nini kilichobadilika kwenye hiyo taasisi so far??
  5. Yekevalia

    Utabiri: Mange Kimambi kuomba msamaha na kurejea CCM!

    Hivi kipindi kile alipoanzisha kampeni ya kuchoma kadi za ccm ya kwake aliichoma?
  6. Yekevalia

    Kwanini Viongozi wa Serikali wameamua kuanza kumtembelea Tundu Lissu?

    Yule wasimuogope ameshasema sometimes huwa zinakuwa ni frustration
  7. Yekevalia

    Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia(CUF) ajivua uanachama na ubunge na kuhamia CCM

    Ila ccm huu mchezo chezeni kwa staili, maana kwa hii spidi naona hadi watz mambulula wameanza kuelewa
  8. Yekevalia

    Tume yamtangaza Uhuru Kenyataa kuwa Rais mteule wa Kenya

    Aapishwe fasta aanze kumshughulikia msumbufu Odinga
  9. Yekevalia

    Nyalandu: CCM imeingiliwa na watu wenye roho mbaya

    bila Nyalandu [emoji23] [emoji23]
  10. Yekevalia

    Nyalandu: CCM imeingiliwa na watu wenye roho mbaya

    na singida kaskazini kwa Nyalandu lazima mchukue [emoji23] [emoji23]
  11. Yekevalia

    Licha ya sekeseke, Adam Malima kapewa ukuu wa mkoa. Nape ana mengi ya kujifunza, bado hajakomaa kisiasa

    Ni aheri kula tonge moja pamoja na utulivu kuliko kula tonge mbili pamoja na taabu. Mhubiri 4:6.
Back
Top Bottom