Recent content by Yego Jnr

  1. Y

    Uvimbe usiokuwa na maumivu katika paji la uso

    Na mm nina tatizo kama hilo je na mm unaweza kunielekeza
  2. Y

    Jinsi virus wanavyoingia kiurahisi kwenye simu za android

    Msaada Tafadhali ili na mm niweze kupata huduma
  3. Y

    Jinsi virus wanavyoingia kiurahisi kwenye simu za android

    Wakubwa Mimi nina sumsang s3 inasumbua mwenye kudownload files
  4. Y

    Kuna application ya kuroot simu kweye playstore?

    Jaman mm android yangu ni aina ya Vodafone 785,iko full internal memory,kila nikidownload apps zinakwenda kwenye cm,naombeni njia rahisi ya kuwa na space,au kustore apps kwenye SD card
  5. Y

    Laptop inauzwa, HP Elite-book

    Dah poa mkuu,lkn kama naweza pata nyingine unaweza nisaidia
  6. Y

    Laptop inauzwa, HP Elite-book

    Mimi ninashida nayo lkn nina laki tatu,ila mpaka end of this month,kama itakuwa bado ipo utanijulisha namba ni 0763919424, niko Masasi Mtwara
  7. Y

    Badili kitu chochote kwenye smartphone yako ya android

    Tafadhali naomba unielekeze jinsi ya kufuta vitu,app zilizoko kwenye internal memory ili nipate space,cm inakuwa haina nguvu kabisa mkuu,samahan kwa usumbufu wowote
  8. Y

    Badili kitu chochote kwenye smartphone yako ya android

    Ni kweli internal memory imebaki 200 na kitu mb,so nifanyeje Mr Captein,msaada please
  9. Y

    Badili kitu chochote kwenye smartphone yako ya android

    Captaen cm yangu ni Vodafone 785 android,ina memory card ya 8gb,ila kwasasa ina space ya 3gb,cha ajabu nilitaka kudownload app moja ya Leo privacy lock kwaajili ya usalama wa cm yangu,lkn inaniambia insuffienc space,tatzo ni nini mkuu
  10. Y

    Faida za Windows phones

    Mm nina cm ya android Vodafone 785,naomba kujuzwa maana na kazi ya neno root(kuroot)
  11. Y

    Mambo ya house girl mpya

    Hahahahaaaa tehehteheeh Mr mshana Jr unanivunja mbavu aisee
  12. Y

    Mambo ya house girl mpya

    HahahahahaaAA kuna haja ya kuchagua angalau aliyosoma hadi drs la 7 maana ni aibu
Back
Top Bottom