Recent content by yay86

  1. Y

    Kama hujajenga pitia hapa usifanye makosa kwenye wiring yako

    15m sawa na matumizi ya miaka 8.3 kwa matumizi yake ya mwezi ya kawaida kwa tanesco
  2. Y

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Kununua chakula chako mwenyewe sokoni ukapika mwenyeo na ukala mwenyeo kuna biashara gani hapo. Muombe mungu yasikukute... uendelee kuyasikia tu kwa wengine. Vyakula asili sio sumu ila watu wanachakachua sana... utalishwa tu sumu bila ya kujua
  3. Y

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Badilisha mfumo wa kula... mfatilie dr boaz mkumbo youtube na insta na fb... unafundishwa kuacha vyakula vya sukari na uwanga kabisaaa na kula vyakula mbadala ambavyo vinavyotokana na wanyama na mboga za majani tu kwa muda wa miezi mitatu.... ukiweza kufanya hivyo utapona maradhi mengi sana...
  4. Y

    Kama hujajenga pitia hapa usifanye makosa kwenye wiring yako

    Kwanini hazipo popular.... zina shida gani hata watu hawazifatilii sana wakati kariakoo kunahitajika magenerator mengi sana tu
  5. Y

    Kama hujajenga pitia hapa usifanye makosa kwenye wiring yako

    Ebana eeh kwa hiyo generator ilipiga mzigo wenyewe bila ya kuweka external fuel? Hongera kwa kuniongezea imani
  6. Y

    Mke wangu amenenepa na kuwa na kitambi, naomba ushauri

    Inachukua muda gani kwa uzoefu wako
  7. Y

    Mke wangu amenenepa na kuwa na kitambi, naomba ushauri

    Hivi mikanda inafanya kazi kweli... inapunguza tumbo au inaficha tumbo tu kwa wananchi Ukivua baby anaendelea kuliona kama kawa
  8. Y

    Mke wangu amenenepa na kuwa na kitambi, naomba ushauri

    Kupungua uzito Kiuhalisia kwa sasa kuna formula za kisayansi kabisa ambazo zimeangalia mwili unatumia vp vyakula vya aina mbali mbali. Ili mwili uanze kutoa mafuta ya mwili... unatakiwa uzingatie yafuatayo Mwili hutumia aina mbili za nishati katika mwili ili upate nguvu na joto..ambazo ni...
  9. Y

    Nawahi sana kufika kileleni natokaje hapa?

    Mfatilie dr boaz mkumbo youtube kwanza upunguze uzito na kitambi.... ambapo itakuhitaji kuacha pombe na kuacha baadhi ya vyakula... Ukiweza hilo tu.. mengine yote yanakaa sawa yenyewe... nguvu zitarudi vizuri tu. ni ishu za vyakula tu hizo ila wengi wetu hatuamini kama vyakula tunavyokula kila...
  10. Y

    Kama hujajenga pitia hapa usifanye makosa kwenye wiring yako

    hata mm nafuatilia kuhusu hilo nikakutana na huyu jamaa katika link hiyo kuhusu hizo free energy... nishampa kazi anifanyie... nasbr mrejesho sasa
  11. Y

    Kipanda uso chronic

    Kama upo Dar es salaam kamuone Dr Boaz Mkumbo ktk clinick yake ya Nsambo health care ipo mkabala na spitali kuu ya mwananyamala vilevile anapatikana facebook, instagram na youtube kwa mafunzo yake. Amebobea sana na maradhi yanayotokana na lishe mbaya pamoja na mtindo wa maisha. Umepata kipanda...
  12. Y

    Msaada kutokomeza wezi?

    Unaweza weka sensa za milango na madirisha... au mtu akipita tu eneo ambalo hutaki basi itapiga kelele
  13. Y

    MSAADA : Naombeni Direct Link za Hizi Movies TERMINATOR & SUPERMAN Part Zote Wakuu.

    Www.primewire.id Utaweza kuangalia online Ili udownload utahitaji idm au app nyenginezo
  14. Y

    Waislamu na Wakristo wote hawajitambui, naongea na nyinyi leo

    Hakuna kitabu kilichoandikwa na binadamu yeyote.. hata wa israili... kama ni mfatiliaji wa masuala ya dini na kuamini imani husika... kila kitabu kimetoka kwa Mungu huyo huyo mmoja na ujumbe wao hua unafanana... ila kutokana na kupishana kwa muda mrefu na kutokuwepo njia za kuyahifadhi maandiko...
Back
Top Bottom