kiba sio wakushindanishwa na Mondi, na kama mondi asingekuwepo usinge sikia kiba akiwa kwenye chati kama huamini mondi atoeki sahivi kama alivyotoeka kanumba alafu uone kama utasikia kama utamsikia kiba akiwa kwenye chati , nisawasawa na watu walivyokuwa wanamshindanisha Rey na kanumba ...
nina desktop computer Lenova imegoma kuwaka ghafla . nikiiwasha inawaka ial haidispay kwenye monitor , na key board pamoja na mouse haviwaki , na nilijaribu kuifungua ndani nikakuta feni la kwenye processor halizunguki , je itakuwa na tatizo gani? na matengenezo yake yana cost bei gani?
alijaribu kumwambia poa nendo huko unakotaka kwenda , akamwambia mikiondoka hapa kwako siwezikuja kupenda tena na naona sina thamani ya kuendelea kuishi tena hapa duniani , ukiniacha wewe
Alikutana na msichana wakatongozana wakapendana , wakawa wanawasiliana siku moja jamaa akataka kujua background ya msichana huyo, kwahiyo huyo msichana alimsimulia jamaa maisha yake kama ifuatavyo.
Yeye ni mtoto aliyezaliwa peke yake kwa baba yake ila mama yake ana watoto wengine kwa baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.