mwishowe mtasema zzk ana uhusiano na obama lowasa jana alisema mwenyew hana mpango wa kuhama ccm na km zitto aliishaur vibaya kuinunua mitambo walvokataa nan aliwashaur tena waikodi tena kwa pesa nyingi
nawe naona hazikutoshi ivi kwann stendi ya mkoa dar imejengwa ubungo kwa mnyika na co kawe kwa mdee ukipata jibu ndo utajua kwann stend ya magar ilijengwa kgma mjini na co kgma kaskazin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.