Zitto tuambie mchango wa Kigoma

Zitto tuambie mchango wa Kigoma

Supreme Leader na image ya ACT akiwa Shinyanga alipandikiza chuki kali kati ya wana kanda ya ziwa na wana kaskazini hususani Arusha na K.njaro.Akahubiri kuwa mikoa ya kanda ya ziwa ina mchango mkubwa kwenye pato la taifa lakini hakuna maendeleo kwa sababu ya mgao hafifu tofauti na Kilimanjaro na Arusha ambao wana maendeleo lakini mchango wao ni mdogo kwenye pato la taifa.Sasa Zito Kabwe awaeleze wananchi Kigoma inachangia
kiasi gani pato la taifa na
akishamaliza atuambie kama
maendeleo ya Kigoma
aliyojitapa nayo ya barabara,
gati lake Tanganyika, umeme,
uwanja wa ndege, daraja la
Malagarasi na miradi mingine
mingi Kikwete aliyowapeleka
Kigoma kwa kuupea kipaumbele
ni halali mpaka kuyatungia
wimbo!
Na kwanini anataja Kilimanjaro
tu.c.c Nguruvi3 Geza Ulole

Mwanasiasa mahiri na mbunge aliyestahili kuitwa mbunge taifa kwa kuwatetea watanzania wote wa mikoa yote,
Kama Shinyanga na Arusha kwenye madini yao, Mwanza na pamba yao, Tabora na Tumbaku yao, Kilimanjaro na kahawa yao na mikoa ya kusini kwa korosho yao.

mikoa yote hiyo alijitahidi kuibana serikali iboreshe maisha ya wananchi kupitia shuguri zao za kila siku za kujipatia riziki na kupelekea kutungwa sheria mpya ya madini leo hii unaulizia alichokifanya?

Kweli nimeamini chuki hupofusha macho.

Wananchi wa kigoma hawahitaji hata kukumbushwa akichokifanya zito kwa mkoa wa kigoma
Kwa mkazi yeyote wa kigoma hata umwamshe usingizini atakwambia mazuri mengi ambayo zito ameufanyia mkoa wa kigoma na kuuletea heshima kubwaKila mwanakigoma leo anajivunia kusema mimi ni mutu wa kigoma popote pale alipo tofauti na ilivyokuwa hapo kabla.

Wakazi wa kigoma mjini chonde chonde msifanye makosa hapo mwezi wa kumi turudishieni jembe letu ZITO ZUBERI KABWE bungeni.
 
Last edited by a moderator:
zitto kawakimbia wana kigoma kaskazini na kakimbilia kigoma mjini. poleni wana kigoma.
 
DARAJA LA MTO MALAGARASI.
Hili daraja haliko Kigoma Kaskazini. Liko jimbo la David Kafulila la kigoma kusini. Hivyo Zitto ameanza tena kudandia miradi ya majimbo ya watu. Ikumbukwe daraja la mto Malagasy ilikuwa kwenye ilani ya CCM ya mwaka 2005. Kama CCM imemtunuku hili kwa kazi yake ya kudhoofisha upinzani, basi sawa.

UWANJA WA NDEGE.
Huu uwanja uko Kigoma mjini. Iweje mtu wa kigoma Kaskazini aufanye wa kwake? Kesho Serukamba naye atajinadi kwa uwanja huo huo. Tutampa nani??

RURAL ELCTRIFICATION.
Hii ni sera ya kimataifa kupitia USAID ambapo Marekani ilitoa dollar 7billion kwa nchi za Africa. Tanzania ikiwa mnufaika namba 1. Ujenzi wa mitambo unafanyika Ubungo. Hivi kama mnamtunuku Zitto huu mradi basi Mnyika ilipaswa apewe Tuzo maalum kabisa kwa maana hii Mitambo iko UBUNGO.

Kigoma to Manyovu.
Hii barabara siyo ya Zitto, bali alibebwa na Location ya kijiografia. Kigoma kaskazini iko kati ya Mjini na Manyovu. Kama hii mnampa, basi mpeni Lissu ile ya Manyoni-Singida.

ALIYOFANYA YEYE.
Nampongeza kwa kutoa msukumo katika ujenzi wa soko la Mwandiga kupitia Umoja wa Ulaya. Hongera zake. Kusomesha baadhi ya wanafunzi ambao hata hivyo nilidokezwa kuwapo kwa manung'uniko kuwa aliwapendelea Waislamu. Ndio maana udini Kigoma ni wa hali ya juu.

Zitto hawezi kusema TUMEFANYA....
Bali NIMEFANYA....

GENERALIZATION kama hizi zinafanya wabunge kutotimiza ahadi zao.
Zitto angekuwa Mbunge wa Ubungo zngesema ile Mitambo ya umeme yote kazi yake.

Simlaumu sana, huenda ni aina ya MALEZI na MAKUZI.
Misingi ya kumjenga mtoto inatakiwa kuwa madhubuti.

Kama Zitto leo anaweza kumsema vibaya Slaa ambaye alimjengea ujasiri, kumsapoti na kumpa hoja za maana kwa nia ya kumwandaa, unategemea nini??

Sunday School na Madrassa ni muhimu sana, lakini kwa wanaomfahamu Zitto toka utoto haya hakuyapitia.
 
zito ana hofu na watu wa kaskazini, na ujuaji wake wote akikutana na mtu wa kaskazini anakuwa mdogooo, mpole na hajui sababu sasa kaona njia ya kupambana nao ni kupandikiza chuki kwa watu wa mikoa mingine wawachukie watu wa kaskazini, na bado hata mwanamke wa kaskazini ataendelea kuwaona tu type yake ni kina Diva ndio wana fanana akili.
 
Mwaka 2010 Zitto alikuwa kwenye nafasi mbaya Kigoma hivi kwamba ilibidi atumie propaganda za Ubunge wa taifa kujikwamua.
Alipumua Kidogo baada ya Kikwete kulisusa jimbo lake. Akashinda. Hali hii ilitokana na uwajibikaji hafifu kwa raia wa Kigoma Kaskazini.

CCM waliamua kumpa favour maalum Zitto kila pahala baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kuingia kwa makindakinda waliokuwa na hamua ya kuinyonga CCM. Walitamani kuongozwa na Zitto lakini yeye akawa tofauti. Alikuwa mpole sana kwa serikali huku akiichokonoa Chadema na kuijengea taswira mbaya mbele ya jamii. Alidai kulishwa sumu na Chama baadaye akalazwa na daktari wake alipohojiwa na gazeti la Mwananchi alithibitisha kuwa haikuwa sumu bali machafuko wa kawaida wa Tumbo. Zitto aliumbuka.
Akadai ana majina ya walioficha mabilioni USWISI chama kikamwomba ayaweke wazi akawaambia hayawahusu. Halafu mnategemea mtu hapo.

Laiti ningekuwa maarufu, ningeuweka wazi unafiki wa Zitto, Dunia nzima imjue.
 
Sasa Zitto asifanye wasukuma ni wajinga... Hakuna mtu wa kaskazini anyekuja kugombea kanda ya Ziwa.
Maendeleo ya msukuma yataletwa na msukuma mwenyewe.
Watu wa Shinyanga na kwingineko watamchagua kiongozi wa eneo lao wenyewe kutoka chama Chochote kile.
Hizi chuki zake zinalenga kuigawa nchi. Aifanye kama kwao Kongo.
 
kilimanjaeo ikitajwa unaumia ee! pole aisee
hamna mtu anaumia atueleze mchango wa Kigoma kwenye pato la Taifa pia! Sisi tunajua mchango wa Kilimanjaro na Arusha (mikoa iliyo top 10) anayoita kiduchu kuanzia utalii (parks, hotels and conferences), biashara, viwanda, madini na kilimo (horticulture na coffee)
 
Mwaka 2010 Zitto alikuwa kwenye nafasi mbaya Kigoma hivi kwamba ilibidi atumie propaganda za Ubunge wa taifa kujikwamua.
Alipumua Kidogo baada ya Kikwete kulisusa jimbo lake. Akashinda. Hali hii ilitokana na uwajibikaji hafifu kwa raia wa Kigoma Kaskazini.

CCM waliamua kumpa favour maalum Zitto kila pahala baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kuingia kwa makindakinda waliokuwa na hamua ya kuinyonga CCM. Walitamani kuongozwa na Zitto lakini yeye akawa tofauti. Alikuwa mpole sana kwa serikali huku akiichokonoa Chadema na kuijengea taswira mbaya mbele ya jamii. Alidai kulishwa sumu na Chama baadaye akalazwa na daktari wake alipohojiwa na gazeti la Mwananchi alithibitisha kuwa haikuwa sumu bali machafuko wa kawaida wa Tumbo. Zitto aliumbuka.
Akadai ana majina ya walioficha mabilioni USWISI chama kikamwomba ayaweke wazi akawaambia hayawahusu. Halafu mnategemea mtu hapo.

Laiti ningekuwa maarufu, ningeuweka wazi unafiki wa Zitto, Dunia nzima imjue.

utabaki na story hizi hizi

mwenzio atakuwa mbunge na maisha yataendelea
 
Mimi Ninaamini katika kipindi cha ubunge wa zitto kigoma imetendewa haki . katika kipindi cha miaka 9 mabadiliko yapo. Barabara. Stand. Bei ya kahawa iko vizuri . mimi kam mtu wa kgm naona ni bora zzt kuliko aliye mtangulia alumeshi mayonga kahena.
 
Tatizo unatumia akiri zakuazima.Hivi hiyo Barabara ya Kigoma kaskazini nikimaanisha Manyovu unaelewa kama niya Jumuiya ya A.mashariki na imejengwa kwa sababu niya nchi 2?.Hivi kumbe haujui kwamba huo mradi wa umeme upo nchi nzima niwa msaada Wa USA kwa sababu ya mazingira?.Mtadanganywa nyie msiojua na ndio maana huyo dogo anawatumia kama ngazi mkuu,hata mimi nilikuwa mshabiki wake kabla hajawa msariti.Zitto ni muongo tena aliyebobea kwa watu kama wewe.Hiyo Stendi ya Mabus anaijenga jimbo la Kigoma mjini badala ya jimbo lake?.
nawe naona hazikutoshi ivi kwann stendi ya mkoa dar imejengwa ubungo kwa mnyika na co kawe kwa mdee ukipata jibu ndo utajua kwann stend ya magar ilijengwa kgma mjini na co kgma kaskazin
 
zzk amelewa, anabwaya bwaya, ameuwa kama pampasi aliyovikwa mtoto.
 
Mimi Ninaamini katika kipindi cha ubunge wa zitto kigoma imetendewa haki . katika kipindi cha miaka 9 mabadiliko yapo. Barabara. Stand. Bei ya kahawa iko vizuri . mimi kam mtu wa kgm naona ni bora zzt kuliko aliye mtangulia alumeshi mayonga kahena.

Hapa hatuzungumzii ubora Wa Kahena au Zitto,hapa tunazungumzia sarakasi za Zitto kuwahadaa wasiomuelewa kama wewe,hizo barabara unazozizungumzia nizipi?.Hiyo Stendi unayomhusisha Zitto ni ipi aliyoisimamia iliyopo Kigoma Kaskazini?.Au haujui hata Jiografia ya Kigoma?.Stendi ya Ma bus imejengwa kigoma mjini jimbo la Peter Serukamba ambavyo anayeweza kuizungumzia ni Serukamba.Nakama ni ushirikiano wawa bunge wote kwanini tusimuone Kafulila naye nishujaa kwa hili?.Kimsingi siwezi kuona mchango wa Zitto katika Manispaa yetu tofauti ni kuleta uchonganishi wa hujuma zake kati ya madiwani wetu nayeye kutoelewana na Meya Beji.
 
Mwanasiasa mahiri na mbunge aliyestahili kuitwa mbunge taifa kwa kuwatetea watanzania wote wa mikoa yote,
Kama Shinyanga na Arusha kwenye madini yao, Mwanza na pamba yao, Tabora na Tumbaku yao, Kilimanjaro na kahawa yao na mikoa ya kusini kwa korosho yao.

mikoa yote hiyo alijitahidi kuibana serikali iboreshe maisha ya wananchi kupitia shuguri zao za kila siku za kujipatia riziki na kupelekea kutungwa sheria mpya ya madini leo hii unaulizia alichokifanya?

Kweli nimeamini chuki hupofusha macho.

Wananchi wa kigoma hawahitaji hata kukumbushwa akichokifanya zito kwa mkoa wa kigoma
Kwa mkazi yeyote wa kigoma hata umwamshe usingizini atakwambia mazuri mengi ambayo zito ameufanyia mkoa wa kigoma na kuuletea heshima kubwaKila mwanakigoma leo anajivunia kusema mimi ni mutu wa kigoma popote pale alipo tofauti na ilivyokuwa hapo kabla.

Wakazi wa kigoma mjini chonde chonde msifanye makosa hapo mwezi wa kumi turudishieni jembe letu ZITO ZUBERI KABWE bungeni.
Mkuu ni mpuuzi pekee asiejua mchango wa ZZK katika taifa hili na Upinzani kwa ujumla.Kabla ya zitto kabwe kuwa mbunge inabidi watu watafakali Kigoma Kaskazini ilikuwa na hali gani na sasa ina hali gani.

Watu wengi wenye chuki na zitto wanakwambia zitto,Angemnyenyekea NKURUNZIZA angekuwa mtu kubwa nchi hii.Mimi naamini kila zama na kitabu chake na zama hizi hakuna mbunge ameonyesha utendaji wa hali ya juu na kuisimamia serikali kama ZZk.

Inapaswa watu kupima maendeleo ya kigoma kaskazini before na after zzk kuwa mbunge wa jimbo hili.

Watu wanadai Zitto kakimbia K Kaskazini,Kwa sababu eti hakubaliki lakini watu hao hawajiulizi kwa nini Mwandiga imetolewa kigoma kaskazini na kuletwa kigoma mjini?.

Waugue pole!
 
kigoma haikuwa na barabara ya lami nguzo za umeme zimesambazwa jambo lote la kigoma kaskazini . Kigoma haikuwa na stand ya magali yaendayo mikoani. Wewe ulitaka afanye nini zaidi ya hivyo

sio unataka afanye nini tiyari ashafanya uyuda
 
Mkuu hata hivyo ulivyovitaja kwa Kigoma viko wapi?.Mimi nimkazi wa Kigoma mjini lakini huyu Zitto atuambie kwanza hayo maendeleo aliyowapa wana Kigoma kaskazini niyapi mbona hatuyaoni?.Huyu dogo anatapatapa kukimbilia huku kwa kuwa anajua kule hawezi kupata kwa sababu ya uongo wake,aliahidi mengi tu mpaka kuwambia wananchi kwamba mradi wa umeme vijijini kawaletea yeye kumbe nimsaada Wa Marekani kwa nchi nzima

Hujielewi wewe kama unadhani maendeleo nikuletewa pesa ukiwa chumbani subiri
 
Tatizo unatumia akiri zakuazima.Hivi hiyo Barabara ya Kigoma kaskazini nikimaanisha Manyovu unaelewa kama niya Jumuiya ya A.mashariki na imejengwa kwa sababu niya nchi 2?.Hivi kumbe haujui kwamba huo mradi wa umeme upo nchi nzima niwa msaada Wa USA kwa sababu ya mazingira?.Mtadanganywa nyie msiojua na ndio maana huyo dogo anawatumia kama ngazi mkuu,hata mimi nilikuwa mshabiki wake kabla hajawa msariti.Zitto ni muongo tena aliyebobea kwa watu kama wewe.Hiyo Stendi ya Mabus anaijenga jimbo la Kigoma mjini badala ya jimbo lake?.

Mijitu mingine tabu tupu, sasa ulitaka aseme yapi? Aliyofanya kwa pesa zake au? Haya katoa ambulance mbili kama Mbowe, au na hilo ni marekani wametoa
 
Kigoma haikuwa na barabara ya lami nguzo za umeme zimesambazwa jambo lote la kigoma kaskazini . kigoma haikuwa na stand ya magali yaendayo mikoani. Wewe ulitaka afanye nini zaidi ya hivyo

Hiyo haikuwa kazi ya Ayatolahhh Kamenei a.k.a zzk bali ni kazi ya kitaifa, barabara umepita tu kwenye jimbo lake na sio specifically kwa kigoma kaskazini.
Lingine ni kuwa Ayatolllah Zzk ajue hii nchi ni moja na tunaishibkwa umoja, maliasili zote zinagawanywa kwa usawa asilete ubaguzi kisa kakosana Mbowe, kigoma mchango wake ni wa kawaida sana ila umejengewa vitega uchumi kibao atueleze ni nini kigoma inachangia kiasi cha kujengewa vitu vyote hivi.
Huyu si kiongozi wa kitaifa bali ni wa kigoma peke yake na hana sifa ya kuwa kiongozi wa nchi.
 
Back
Top Bottom