HIVI NINYI Voda mnatuchukuliaje SISI wateja WENU?
Bando la wiki la Tshs 20,000/= mnashusha MB KILA wiki!!!
Naamini kimefika kipindi cha kuacha kununua bando..
YAANI hamjali hali ZETU kiuchumi!!
Nipeni SABABU ya kupunguza MB kwa thamani ya PESA ileile..
Jela..
SIO sehemu nzuri..
Na akupelekae kwa habari na mambo yanayozungumzika..
HUYO mweke KTK kundi la maadui zako wa kipindi chote cha MAISHA YAKO duniani..
aisee...sasa huenda ukawa mwanzo wakupata wanasayansi Watanzania....bila wanasayansi ni ngum sana kwa nchi kuendekea....chukulia mfano Iran...leo inaheshimika duniani sababu ya wanasayansi wao...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.