Recent content by Yangtze

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

    This is unfair.....Kada wa CCM Sabodo akichimba visima kwa ajili ya wananchi hua tunampongeza...sasa iweje mbunge wa Iramba anunue pampu za maji kwa wananchi wake halafu tuite hicho kitendo ni upuuzi? Sidhani kama wale wanaofaidika na pampu hii watakua na mawazo kayo yako ktk hili kwani...
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

    Umenikumbusha ule msemo wa John F. Kennedy! Issue hapa ni kwamba tusisubiri serikali itufanyie baadhi ya mambo bali kama yako ndani ya uwezo wetu tuyafanye!
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

    Sasa mkuu kama serikali hairespond na jambo linalotesa mamia ya watu unaona liko ndani ya uwezo wako na wewe ni kiongozi wao unafanyaje?
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

    Aaaaaaaaaahhhh Kiongozi....the guy is not of that character....baniani mbaya lkn kiatu chake dawa!
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

    Mkuu mbunge halazimiki kutumia fedha zake kwa maendeleo ya wananchi kwa sababu serikali ipo. Lkn kama serikali inachelewa kuleta hayo maendeleo na mbunge anaona hilo jambo liko ndani ya uwezo wake, basi ni vyema kama ameguswa afanye...sii dhambi bali ni mfano wa kuigwa
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

    Ni kweli mkuu. Ifike sehemu waTz tujenge culture ya kupongeza wenzetu wanapofanya jambo la kujenga regardless of our political ideology.
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

    Hakika mh. Mwigulu amekuwa mfano wa kuigwa baada ya kusema bungeni kuwa ilimlazimu kuuza gari yake aina ya vx v8 na kununua pampu ya maji kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake. Ameyasema hayo wakati wa kuchangia bajeti ya maji. Hebu tujiulize ni wabunge wangapi wenye moyo wa kuuza magari yao na...
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu nchemba: Kirusi cha elimu tanzania

    Mi nadhani alikua na sababu ya kusema hivyo. Pengine mleta mada hakupata mantiki yake kusema hivyo. ngoja tumwite hapa jamvini aelezee kimaudhui alichomaanisha. It's better to hear from the horse's mouth!
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Aisee..mkuu Janjaweed..haya bwana...inapendeza kama maoni yangu mimi mkulima yanaonekana kama ya mtu mwenye first class degree...
  10. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Tehe.tehe..mbavu zangu...Du nimecheka sana. You have made my day. Ebwana kweli wewe Janjaweed!Suala la mke wa Ustaadhi (Tehe..) mimi hilo silijui na wala siamini alifanya hilo jambo. Mimi sii mgeni hapa jamvini Janjawd.Lkn niseme tafsiri ya jina langu sio hiyo. Du...ila nimecheka sana. Mimi ni...
  11. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Does this has anything to do with development of Irambians?
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Sasa hapa umefunguka vizuri! Labda niseme hivi, Nchemba hakusema kwamba akiba ya fedha za kigeni ni nyingi kupindukia, bali alionesha kumshangaa mchumi mwenzake (Zitto) kushindwa kuwasiliana na wahusika wa BOT wampe figure kamili ya foreign currency. Matokeo yake Zito alikwenda kwenye unupdated...
  13. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Naona na wewe umeingia kwenye kundi la wapiga ramli! sasa hili na wewe utajiita great thinker?
  14. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Watanzania mbona tunaroho za korosho? Sasa hapo umekereketwa na nini?
  15. Y

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote

    Funguka zaidi. Hujaeleweka....
Back
Top Bottom