Naomba ni waulize swali nyie wachangia maada hivi kuoa hg nikosa?pili mapenzi haya chagui ni kitu tulicho kikuta ina maana mapenzi ni makubaliano kati ya watu 2 wakipendana kwhy hao wamependana, na we mama nahc unajua tabia ya hg wako kwahy ni jukumu lenu wazaz kumtathmi huyo hg wenu je...
Ndg zangu poleni na mihangaiko ya hapa na pale hasa ya kimaisha.kwakweli mwenyezi mungu anamakusudi yake hapangi wote waende 4m 5,kwa matokeo yangu nimeambulia hiki kidogo nimepata 4 ya 30 kwa masomo haya,Bio D,Chem D,Phys D,Geog D na kisw D je kwa matokeo haya naweza kupata chuo chochote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.