Recent content by YAKUTA

  1. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Wakati mnalalamikia ule mchango wa Yanga kwa CCM, kuna hili liliwapita

    Makolo bhana mnajitekenya na kucheka wenyew Mbona bwana wen Mo kachangia milion 150 Isitoshe na yy hajakatazwa kwnda kudhamini timu nyingine halaf apange matokeo
  2. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania PBZ wananizingua; Kuna benki yoyote inayotoa mkopo 'online' (katika ESS) ndani ya siku mbili niwakimbie hawa?!!!

    Wapigie simu ueleze dharura yako PBZ kwa sasa wanatoa mikopo mingi kutokana na riba yao kuwa ndogo kuliko taasis yeyote
  3. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025

    Morogori mjini kapita nani??
  4. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Wakuu ni Benki gani inatoa riba nafuu kwa mikopo binafsi chini ya asilimia 17%

    PBZ 14% au Mkombozi saccos 12% ingia ESS utazikuta
  5. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Nimemaliza kidato cha 6 PCB mwaka 2024 na kubahatika kupata 1.9, naombeni ushauri

    Mbona post yako hii uliotoa inakinzana taarifa na post yako uliyochapika tarehe 25 Feb 2025 Ile post umesema unamkopo leo unasema huna kabisa which is which Komaa dogoo kusoma wengine hata huo mkopo ulioutaka wanautamani wapambanie ndoto Acha starehe, acha kushindana wa watoti wa matajiri...
  6. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Makala Maalum: Qur’an ya Leo si ya Uthman Wala Muhammad – Ni Toleo la Mwaka 1924 la Cairo, Lililokubalishwa Kisiasa na Kihistoria

    No hadithi kama hadithi nyingine za vilabuni Validity ya andiko lako nikutuletea hilo andiko la zaman na la sasa tulinganishe na kujua aya gani imebadilishwa ama sura ipi Huwez kusema haipo!! Na hayo marekebisho wamefanyiwa wapi?
  7. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Tunauza magari kwa mkopo nafuu

    Akaunti instagram mnayo?? Tuone kazi zenu
  8. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Madhara ya TFF kufumbia Macho mabaya yote ya Yanga matokeo yake ndio haya tunaanza kuyaona

    U.p.u.m.b.a.v.u mtupu Haitaji kuwa na akili kubwa kujua ni timu gani msimu huu inabebwa na marefa
  9. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Mafia ina watu wachoyo na wabinafsi kuliko maeneo mengine

    Pole sana mwalim Hama tu hakuna namna
  10. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Kataa mifumo ya zamani ya mashimo kwa sababu itakugharimu mara mbilI

    Tuma picha
  11. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Kwa matokeo ya Physics E, Chemistry D na Biology C anaweza kusoma lozi ya Afya kwa vyuo vya serikali au binafsi?

    Watu wana div 1.9 na wamekosa vyuo huyo kwa matokeo yake apambane sanaa Akatoe ela vyuo vya private tena diploma Sent using Jamii Forums mobile app
  12. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Baada ya mechi ya August 8, Simba muwe wamoja kama mlivyo sasa hivi

    Umekosa reply kwa kuwa umeoongea ukweli mchunguu.ungewasifia angalau kidogo nyuz ijae
  13. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Nauza vifaa vya laptop tablets na desktop kwa bei ya jumla

    External hard disk mnauzaje??
  14. YAKUTA

    JamiiForums Tanzania Mfungaji Bora Apewe Fei Toto Salumu( FTS)

    Kama ni uzawa apewe WAZIR JR maana ni mtanganyika na anamagoli 12 Huyo fei unaemzungumzia ni mgeni kutoka Zenji
Back
Top Bottom