Recent content by YAKUTA

  1. YAKUTA

    Una Miaka 30+ unafata nini night club?

    Mbona unatufokea sasa
  2. YAKUTA

    Mnapojadili kuwa Yanga kaonewa mjadili pia ubovu wa Yanga kwenye upigaji wa penati

    Pumbav Unajificha kweny matokeo ya wengine ysko mbona husemi
  3. YAKUTA

    Sijamuelewa CAG, kwamba anataka wastaafu wachangie bima ya afya? Hizi ni akili za wapi? Tukatae Kwa Sauti

    Serikali inajichotea fedha huko(kukopa) halafu hawarudishi Ndo maana hakuna hatua yyto inayochukuliwa
  4. YAKUTA

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Tiririka tu mpaka kwa Nelly alikupigaje na kitu kizito Vijana wa chuo watambue hilo
  5. YAKUTA

    Makosa makubwa; Nembo ya Taifa imebadilishwa kwenye mihutasari mipya ya masomo Shule ya Msingi

    Huo utumish ni wako na halmashaur yako Sasa nan anajua kuwa ww ni slave servant
  6. YAKUTA

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Na-subscribe kabisa huu kabisa nioate mwendelezo Kaka toa kila details
  7. YAKUTA

    Tulimsomesha kwa tabu akang'ang'ania kuolewa, mwisho wa siku akatelekezwa na mapacha

    Acha udini Suala hapo mlishindwa kumlea huyo binti mpka akapata na ujauzito akiwa hapo nyumbani Wakristo wangapi wameoa na wanamichepuko mtaani kibao?? Umemuuliza huyo ndugu yenu kwann kaachika mwaka mzima?? Ama nungwa zimekujaa na kuanza ku-attack imani ya mtu
  8. YAKUTA

    Msaada: Malipo ya deni langu Stanbic Bank

    Makato ya mkopo huwa yanakatwa moja kwa moja kabla hayajaigizwa kwenye akaunti ya benki
  9. YAKUTA

    Kuna picha zinasikitisha sana Palestina, mnaoshabikia HAMAS kuanzisha hizi choko sijui mkoje

    Huko Ukrain na Russia nao kuna waislam Acha udini
  10. YAKUTA

    Ufafanuzi kuhusu bei za vifaa vya kielectroniki Zanzibar pamoja na gharama za usafiri

    Kama unafanya biashara ya vitu vya electronic post na picha wadau wachague bidhaa
  11. YAKUTA

    Ifanye pesa isiwe ya msimu, buni vyanzo vingine vya mapato

    Anza kwanza wewe tuambie una vyanzo vingapi?
  12. YAKUTA

    SoC02 Jinsi biashara ya viatu inavyonitoa mavumbini

    Ingekuwa unafanya biashara ya kutuma mikaon ingekuwa poa Naamin ungetanua wigo wa biashara yako Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  13. YAKUTA

    Bodi ya mikopo elimu ya juu

    Wezi tu hao wanakubambikia madeni ambayo hayapo Kama unapresha nkushauri usiaangaike kuangalia deni lako maana upuuzi utakauona huko utakukatisha tamaa hata ya kufanya kazi Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom