Acha udini
Suala hapo mlishindwa kumlea huyo binti mpka akapata na ujauzito akiwa hapo nyumbani
Wakristo wangapi wameoa na wanamichepuko mtaani kibao??
Umemuuliza huyo ndugu yenu kwann kaachika mwaka mzima??
Ama nungwa zimekujaa na kuanza ku-attack imani ya mtu
Wezi tu hao wanakubambikia madeni ambayo hayapo
Kama unapresha nkushauri usiaangaike kuangalia deni lako maana upuuzi utakauona huko utakukatisha tamaa hata ya kufanya kazi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.