Recent content by Yako Atta

  1. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania M23 na Rwanda wakamata rasmi Kivu Kusini na Bandari zote za Ziwa Tanganyika DRC. TISS na JWTZ endeleeni tu kuwa migambo ya CCM

    Hujui chochote, Tanzania imefeli vibaya mno kuiacha DRC ikipambana yenyewe Mashariki maa Congo, Tanzania ina Maslahi makubwa sana mashariki ya Congo kuiacha mashariki ya Congo ni ishara kuwa tuna viongozi wasioifahamu Geopolitics ya eneo la maziwa makuu.
  2. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Tuliona Tulioyoyaona: Ukuu wa Kihistoria na Laana ya Kiti cha Enzi

    Tuliona tuliyoyaona Zimbabwe ya Mugabe wa ZANU PF na Morgan Tsvangirai wa MDC, tuliyajua pia ya Venuzuela ya Hugo Chavez kabla ya Nicolas Maduro na baada ya Nicolas Maduro-Venezuela: Populism, Petro-State na Mporomoko wa kiuchumi. Huenda tuliona ndivyo sivyo na pengine zilikuwa ni taswira zaidi...
  3. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    INSIDER MAN njoo hata utoe salamu tu, tumepoteza wadau wengi sana, hatujui walioko kimya kama ni kimya cha ubusy au kimya cha milele
  4. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Utekaji, Mauaji hatimaye tunaanza kupata wahusika wakuu

    Ni nani alieyetoa amri ya kuua watu, hao wandaamanaji au wafanya vurugu walikuwa na silaha? Hakukuwa na namna nyingine zaidi ya kuwaua? Hao waliokuwa majumbani au waliokuwa na shughuli zao kisha wakapigwa Risasi walikuwa wanaganya vurugu ipi? Msilaumu watu kuandamana ni haki yao kikatiba...
  5. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Mavumbi: Amani kwanza haki baadae, tuilinde amani yetu

    Amani ni Matokeo sio Mchakato, Mchakato wa Haki na Uadilifu huzaa Amani. Ni vigumu kuvuna Maembe ilhali ulipanda mihogo.
  6. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Nikiongea mengi kuhusu Kapteni Tesha nitaharibu. Jueni yuko Uraiani nje ya nchi

    Kwani wsmekufa wenyewe au wameuwawa na vyombo vya Dola? Kwanini umshutumu Mange badala ya aliyetoa amri viajana wauwawe?
  7. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Jamani wanawake!! "Mikucha mirefu si urembo wala mapambo"

    Sijajua wanaweka kumvutia nani, wanaume wengi hawaungi mkono mwonekano wa mwanamke mwenye kucha ndefu. Asilimia kubwa ya wanawake wenye kucha ndefu wanakuwa wachafu sehemu za Siri. Sasa hivi nkiona mtu ana mikucha mirefu ya kufuga au kupachika najua tu huyu atakuwa ananuka uchi.
  8. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Uchache wa idadi ya raia nimSababu kuu za nchi za uarabuni zenye maisha mazuri kwa raia wengi bila utawala bora

    Hizi Data za mwaka gani, ni za uongo sana
  9. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania PICHA: Rais Samia akiagana na Viongozi wa Kijeshi kabla ya kuelekea nchini Comoro alikoalikwa kama mgeni rasmi

    Kwani ukiwa nanumri mkubwa unapaswa kuwa na kitambi?
  10. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Serikali imejipangaje kidiplomasia kumruhusu mhubiri dini mtata anayesakwa na India kutua nchini?

    India ni nchi ya wahindu, waislam ni chini ya Milion 300 katika watu Bilion moja na nusu, na kuna chuki kubws ya wahindu kwa waoslam, kwa Dr. Zakir Naik kupewa kesi ya ugaidi ni issue ya kisiasa tu haimaanishi kwamba kweli ni Gaidi ni kama kesi ya Ugaidi ya Mbowe na Nelson Mandela ilivyokuwa...
  11. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Ni Afghanistan not Pakistan
  12. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Mkapa and Kikwete had one Director of TISS during their tenure. However, 4 Directors have been replaced within less than 2 years. What’s going on?

    Madam President and her predecessor the Late JPM both have common character on TISS, they don't have the roots on the instituion especially on senior spies. Most of their appointees based on hearsay and the so known Political Consultancy from their close aidees but the appointees lack a common...
  13. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Iran yathibitisha haiwezi kulipiza kisasi dhidi ya Israel

    Rumi ilianguka na kunyanyuka zaidi ya Mara tatu kwa tafauti ya karne kadhaa.
  14. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Pili alipata ujauzito na katika harakati za kutaka kuutoa akaomba hela kwa insider, kisha mambo hayakwenda kama alivyopanga huenda alupoteza maisha au alikuwa mahututi asiyejitambua! Joking!!
  15. Yako Atta

    JamiiForums Tanzania Marine Le Pen wa Ufaransa; Mfano wa viongozi watata wa mrengo mkali kulia Ulaya waliochoshwa

    Wanavaa wenyewe na hawajalazimisha mtu. Hamkatazwi hata kutembea uchi, kuamulia watu mavazi ya kuvaa na kutovaa ni ubabe usio na msingi. Avaaye kufunikwa kichwa aachwe aamue avae na atakae kutembea uchi na bikini afanye hivyo.
Back
Top Bottom