Wakuu kuna swali apa kuhusiana na wamakonde linasema "Kupitia kabila la kimakonde, elezea asili ya ulimwengu, binadamu na maisha yake baada ya kufa"
Msaada tafadhali kwa hilo
Kwa system hii....elimu itakuwa vigumu sana kuendelea kwa sabab kuna wa2 weng ambao hawana uwezo wa kujiendeleza na masomo ya vyuoni....pasipo kuwa na boosting ya mikopo...
Loanx board fikilie kwanza kabla ya kutoa suggestion kama izo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.