Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,891
Huyu mpambania kombe tu mkuuBado pixel inanitatiza sana kuna mjadala uliibuka uko telegram kwamba Pxl tunazioverrate sana kwenye camera.....kati ya Pixel 5 na iphone Xs max....x max ilionekana ni bora zaidi kwenye picha kulko pixel 5,4 na 3 sasa nikuulize ni kweli tunazioverrate??
