Recent content by yahooo

  1. yahooo

    Nikajua bila yeye siwezi kumbe kukosa hela kuna mfanya mwanaume kupenda kupitiliza

    Maajabu ya mwanamke: 1.Hamvumilii mwanamme asiyekuwa na pesa.. 2.Mwanamke ndiye mtu pekee anayemvilia Mwanae akiwa hana pesa
  2. yahooo

    Tetesi: Netanyahu kakimba Israel baada ya kusikia Iran itaishambulia Israel

    Hata Mimi nimekutana naye nikashangaa anavotoka nduki, sikutegenea yani
  3. yahooo

    Swali linalonivuruga kichwa ?

    Rudi shule, usitusumbue
  4. yahooo

    Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

    Ukishangaa. Ya ist, utayaona ya bajaji..anyways Kila mtu na maisha yake na hakuna mashindano
  5. yahooo

    Hali ya sasa inatubana kuwasaidia wahitaji, Leo nimeshindwa kumsaidia mwanafunzi wa kike wa sekondari kwa kuhofia usalama wangu

    Umenikumbusha, Kuna jamaa mmoja alipaki gari Kwa muda mrefu karibu na maeneo ya bar za banana, nilikuwa nafanya shughuri zangu hapo, gari ilikuwa inanguruma muda mrefu bila ya yeye kushuka, mara akaniita na akanipatia elfu 10 bila ya kazi yoyote, akaendelea kujifungia kwenye gari, akamuita jamaa...
  6. yahooo

    Rafiki yangu kanipa kesi, kisa nimemsaidia mtoto wake mwenyewe

    Tuliopitia maisha ya mama wa kambo tunakuelewa...Wanaume sijui tunakwamaga wapi sijui ni madawa au mapenzi ya kupitiliza
  7. yahooo

    Naomba kujuzwa gharama ya nauli ya treni kutoka Shinyanga kwenda Dar

    Wadau naulizia gharama za Nauli ya treni kutoka shinyanga kuja Dar maana kuna mtu nahitaji kumsafirisha.Pia nauliza hiyo nauli inakatwa Kwa booking au papo hapo, na kama jumapili treni ipo
  8. yahooo

    Kipindi cha Skonga ni taswira ya Elimu yetu ilivyo

    Kuna kipindi Fulani Tbc walikuwa wanachukua camera Kwa Siri wanafunzi wapya wa shule Fulani ya bweni wakipokelewa reception, Sasa walikuwa wanaulizwa maswali ya kusoma au kuoandika maneno ya kiswahili..Cha ajabu wanafunzi kibao walikuwa hawajui kusoma Wala kuandika na walikuwa wamefauru..Mzazi...
  9. yahooo

    Mchumba wangu wa miaka 5 anafunga ndoa kesho inaniuma sana, nifanyaje?

    Duu Kwa hiyo, umepigwa za uso mara 2, pole sana
  10. yahooo

    Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani

    Mimi mke wangu tunazurura chumbani uchiuchi na kama watoto hawapo tunafunga mlango wa sebureni ni uchi tu Hadi sebureni, jikoni....sometimes utsmkuta anapika jikoni na kichupi....
  11. yahooo

    Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani

    Mleta mada huna akili, Kuna haja gani ya kutembea na manguo marefu chumbani mnapolala wawili...acha Bangi basi
  12. yahooo

    Mchumba wangu wa miaka 5 anafunga ndoa kesho inaniuma sana, nifanyaje?

    We Si ulikuwa unamtukaa yule mkurya aliyekufa akidai arudishiwe mkewe, kumbe na ww una yako yanayokutoa roho, pole
  13. yahooo

    Nachumbiwa na mtu wa Musoma

    Ndio umeamua kuja kuanika mambo yetu huku , nyarukundo
Back
Top Bottom