Swali linalonivuruga kichwa ?

Brojust

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
349
1,019
Salaam wakuu.
Kwenye mada moja kwa moja.

Kwanini anga ni la BLUE kukiwa hakuna mawingu nyakati za Mchana na JEUSI nyakati usiku.

Wanasayansi njooni.

NB; Najua kuna wengine watasema ni reflection ya maji sababu maji ndio sehemu kubwa ya Dunia hii (sasa maji si ni colourless) kwanini lisiwe la KIJANI au JEUPE maana sehemu kubwa ya ulimwengu pia ni miti na MAJI ?

Nawasilisha, Ila swali hili halihitaji mihemko.
 
Salaam wakuu.
Kwenye mada moja kwa moja.

Kwanini anga ni la BLUE kukiwa hakuna mawingu nyakati za Mchana na JEUSI nyakati usiku.

Wanasayansi njooni.

NB; Najua kuna wengine watasema ni reflection ya maji sababu maji ndio sehemu kubwa ya Dunia hii (sasa maji si ni colourless) kwanini lisiwe la KIJANI au JEUPE maana sehemu kubwa ya ulimwengu pia ni miti na MAJI ?

Nawasilisha, Ila swali hili halihitaji mihemko.
Mwangaza wa jua hufika kwenye angahewa ya dunia na hutawanywa pande zote na gesi na chembe zote angani. Mwangaza wa samawati umetawanyika zaidi ya rangi zingine kwa sababu husafiri kama mawimbi mafupi, madogo. Hii ndiyo sababu tunaona anga la buluu mara nyingi.
 
Mwangaza wa jua hufika kwenye angahewa ya dunia na hutawanywa pande zote na gesi na chembe zote angani. Mwangaza wa samawati umetawanyika zaidi ya rangi zingine kwa sababu husafiri kama mawimbi mafupi, madogo. Hii ndiyo sababu tunaona anga la buluu mara nyingi.
Sayansi kali sana hii, Labda niulize tu kidogo wale mabaharia wa anga, kwanini kwenye footage zao ukiangalia anga linakuwa jeusi huku mwangaza wa dunia unaona ni mchana.
 
Sayansi kali sana hii, Labda niulize tu kidogo wale mabaharia wa anga, kwanini kwenye footage zao ukiangalia anga linakuwa jeusi huku mwangaza wa dunia unaona ni mchana.
Rudi shule, usitusumbue
 
Back
Top Bottom