Hata yeye alimfanyia hivo hivo Ntibenda Kijiko hapo hapo Arudha wakati akiwa DC na kijiko Rc. Wakati Ntibenda akiwa na shughuli huku yeye aliwaita watendaji wote na kuwaambia yeye ndo rc na waende huko.[emoji3][emoji3][emoji3]hii nchi kwa sasa haifuati utaratibu inategemeana ukaribu wako na mkuu...
CAG anaweza undiwa zengwe na kwa nini achukiwe kiasi hiki. CAG Mungu yu pamoja na wewe!
Taarfa za ukaguzi wa ofisi ya CAG zawasilishwa kwa spika, asema na yeye ni mkaguliwa na kuna mambo kayaona!![emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.