Dah we jamaa unajitoa sana. Asante kwa ushauriPia Amana Bank wanatoa mkopo wa elimu bila riba
Majina hawaja release pia hawajatoa link yoyoteVipi kijana ushaupata tayari mkopo.
Wanasema wait for allocation au ndo unakua ujapata??vp ukiingia kwenye profile yako?
Kama ujapata kwa miaka ya nyuma walikua wanakuandikia ujafanikiwa awamu ya kwanzaWanasema wait for allocation au ndo unakua ujapata??
Oooh ngoja tuendelee bas kusubiri nmevurugwa hapa bila mkopo chuo ndo basi tenaKama ujapata kwa miaka ya nyuma walikua wanakuandikia ujafanikiwa awamu ya kwanza
Ndugu tupe link basiOooh ngoja tuendelee bas kusubiri nmevurugwa hapa bila mkopo chuo ndo basi tena
Ndugu tupe link basi
Tumeni link jaman tuone
Majina hawaja release pia hawajatoa link yoyote
weka iyo link
mm mwenyewe wameniandikia hvyo nafkir tuliokosa ndo tmeandkiwa hvyo ila nataka niende bodi nkajue kabsa najua leo watakuwepo na wengne wenye matatzo wameshatoa kW elfu 30 wamebaki kama elfu 15 kwa mujibu w bajet inaabd leo niende palepale nkapambane huu mwaka w 2 mfululizo nakosa laf majina hawajatoaWanasema wait for allocation au ndo unakua ujapata??
vp jina lako limo kweny orodhaNdugu tupe link basi