Kwa hiyo, mnataka muwe mnawapa mimba watoto wa kike ambao wako shule na kutaka waendelee kusoma kwa kisingizio cha mikataba ya kimataifa?? Hao World Bank si ndiyo wenye fedha nyingi! Ni kwa nini wasiwajengee shule maalumu watoto wa kike mnaowapa mimba ili wakaendelee na masomo huku wakiwa na...
Kwa hiyo, wewe unaona kuwa ni sahihi mtoto wa kike apewe mimba tu kisha chips na akishapata minda aendelee na masomo na serikali nayo iendelee kupoteza hela kwa uzembe na starehe za huyo binti? Hizo pesa za hao wazungu kama wanawaonea huruma mabinti wanaopata mimba, kwa nini wasizitumie...
Ni kweli kabisa. Kesho kutwa kuna uchaguzi mdogo wa jimbo la Buyungu, nimewasikia akina ACT na wengine wakijinadi kuwa wataibuka na ushindi wa kishindo kwenye jimbo hilo na kata kadhaa. Hawahawa juzi ndiyo walikuwa wanalalamika kuwa tume ya uchaguzi haiko huru na kwamba sheria ya uchaguzi ni...
Nakupongeza sana mkuu kwa hoja yako hii. Siku zote uwa ninawaeleza watu kuwa hapa nchini hatuna cha wanaharakati wala wapinzani. Katika nchi nyingi zenye kufuata utawala wa kisheria, mahakama uwa ndicho chombo pekee kinachotengua na kutoa tafsiri ya vifungu vya sheria ambavyo vina mkanganyiko...
Yah, ni lazima waitumie ilani ya chama kwa kuwa kwenye ilani ya ccm kuna kipengele cha kulinda amani na usalama wa taifa na wenye jukumu la kufanya hivyo ni maafisa wa vyombo vya ulinzi. kwa hiyo, wako sahihi kutumia ilani ya chama.
Mimi wala silalamiki hata kidogo! Nilipanga msururu kumpigia kura kwa roho safi na kumpigia kampeini. Hivyo mimi ninampenda na kufurahishwa sana na kazi zinazofanywa na Rais wangu Magufuli na mwaka 2020 nitampigia kampeini na kumchagua tena aiongoze nchi hii kwa mafanikio. Nyinyi ni matatizo...
Tatizo kubwa sana kwa upinzani hasa kwa sasa Chadema wamekosa mtu mahiri wa kupanga mikakati dhabiti ya kuwaonyesha kuwa wako na nia na hoja za dhati za kupambana na serikali. Mfano mzuri ni wa kijana mdogo wa kule South Africa, JULIUS MALEMA, yeye na wenzake walitumia mbinu za kisheria na bunge...
Kama mlishindwa kumpigia kura nyingi na za kutosha mgombea wenu ili awe Rais, sasa mtawezaje kumtoa huyu madarakani kwa vijimaneno, matusi na kejeri kwenye mitandao? Mnapoteza muda wenu tu!! Subirini mwaka 2025 ndiyo muweze kumleta wa kwenu.
Kwa hiyo wewe ulitaka awaache wale fedha za walipa kodi? Kama alikosea, ni kwa nini JK hakumchukulia hatua? Ni kiasi gani cha fedha ambacho unakijua kuwa alikila halafu JK akamuacha tu? Msiwe mnaropoka mambo ambayo hata kuyatolea maelezo hamuwezi!!!!!
Ni jukumu lako wewe mwenyewe kujitathimini namna gani uishi humu nchini. Kama utaamua kuishi kama raia mwema kwa kufuata utaratibu na kuheshimu mamlaka iliyopo au kuamua kutunishiana misuli na mamlaka iliyopo, hilo ni jukumu lako. Sasa, kabla haujaanza kuwalaumu watu kuwa wanakuonea, kwanza wewe...
Hiyo ndiyo kazi ya polisi ya kulinda usalama wa raia na mali zao. Sasa ikitokea kuna watu wachache ambao hawafuati utaratibu wa nchi na wanataka kuhatarisha amani ya nchi, jeshi la polisi halitaweza kuwafumbia macho na kufanya watakacho. Polisi wanalipwa mishahara kutokana na kodi zetu, hivyo ni...
Hicho chama akikianzisha, shughuli zake unadhani ataziendeshea wapi? maana yeye kurudi hapa nchini ni kama ameshaharibu. Na ni kitu ambacho akitawezekana hata siku moja. Atabaki kuwadanganyeni tu nyinyi.
Sasa wewe si ungeonyesha ukomavu kwa huyo mama!! Unalaumu wakati hata wewe hujamuunga mkono. Kama kweli ulihitaji kuwa mtiifu kwa mange, ungeandamana wewe. Suala la maandamano mlisahau kabisa, kama UKUTA ulishindikana, msitegee jambo lingine. Mnavyozidi kuitishia serikali, ndivyo mnavyozidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.