Godbless Lema: Kazi ya Polisi ni kazi ya heshima ni kazi ya kujitolea kwa wengine, sura hii imepotea na kuna chuki

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
IMG-20180428-WA0049.jpg
 
Kosa afanye polisi lawama kwa Rais so mnataka afukuze jeshi lote ndipo muone ametenda haki? Mfano polisi aliyefanya unyama jana Tarime yupo chini ya vyombo vya dola na atapelekwa mahakamani kukutana na mkono wa sheria. Je mlitaki afanywaje ili muone haki imetendeka? Mnahamasisha misingi ya sheria na sheria zenyewe ndio zinataka hivyo mtu apelekwe mahakamani akapate haki ya kujitetea.
 
Hiyo ndiyo kazi ya polisi ya kulinda usalama wa raia na mali zao. Sasa ikitokea kuna watu wachache ambao hawafuati utaratibu wa nchi na wanataka kuhatarisha amani ya nchi, jeshi la polisi halitaweza kuwafumbia macho na kufanya watakacho. Polisi wanalipwa mishahara kutokana na kodi zetu, hivyo ni jukumu lao kutulinda sisi raia ambao hatupendi kufanyiwa vurugu. Jeshi la polisi hampaswi kulilaumu kwa kuwa linatekeleza wajibu wake.
 
Kosa afanye polisi lawama kwa Rais so mnataka afukuze jeshi lote ndipo muone ametenda haki? Mfano polisi aliyefanya unyama jana Tarime yupo chini ya vyombo vya dola na atapelekwa mahakamani kukutana na mkono wa sheria. Je mlitaki afanywaje ili muone haki imetendeka? Mnahamasisha misingi ya sheria na sheria zenyewe ndio zinataka hivyo mtu apelekwe mahakamani akapate haki ya kujitetea.
amemtaja rais
 
Hiyo ndiyo kazi ya polisi ya kulinda usalama wa raia na mali zao. Sasa ikitokea kuna watu wachache ambao hawafuati utaratibu wa nchi na wanataka kuhatarisha amani ya nchi, jeshi la polisi halitaweza kuwafumbia macho na kufanya watakacho. Polisi wanalipwa mishahara kutokana na kodi zetu, hivyo ni jukumu lao kutulinda sisi raia ambao hatupendi kufanyiwa vurugu. Jeshi la polisi hampaswi kulilaumu kwa kuwa linatekeleza wajibu wake.
kwahiyo iliyobaki nikuuwa na kisu
 
Kosa afanye polisi lawama kwa Rais so mnataka afukuze jeshi lote ndipo muone ametenda haki? Mfano polisi aliyefanya unyama jana Tarime yupo chini ya vyombo vya dola na atapelekwa mahakamani kukutana na mkono wa sheria. Je mlitaki afanywaje ili muone haki imetendeka? Mnahamasisha misingi ya sheria na sheria zenyewe ndio zinataka hivyo mtu apelekwe mahakamani akapate haki ya kujitetea.
Rais anapaswa kukemea kwa nguvu na kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua. Hapa nimeongea kama idealist!
 
kwahiyo iliyobaki nikuuwa na kisu
Ni jukumu lako wewe mwenyewe kujitathimini namna gani uishi humu nchini. Kama utaamua kuishi kama raia mwema kwa kufuata utaratibu na kuheshimu mamlaka iliyopo au kuamua kutunishiana misuli na mamlaka iliyopo, hilo ni jukumu lako. Sasa, kabla haujaanza kuwalaumu watu kuwa wanakuonea, kwanza wewe jiangalie ni wapi umekosea hadi unachukuliwa hatua za kisheria? Msipende kuwa walalamikaji tu bila kutafuta njia sahihi ya kutatua matatizo yenu. Mkikaa kulalamika tu, hadi jamii itawachoka!
 
Rais anapaswa kukemea kwa nguvu na kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua. Hapa nimeongea kama idealist!
Kila kitu Rais. ...Rais. ...Rais.....mnalalamika kama mademu!acheni hizo....mwishowe utajikojolea utamtaja Rais....mchepuko ukikupiga chini....Rais.....
 
Kosa afanye polisi lawama kwa Rais so mnataka afukuze jeshi lote ndipo muone ametenda haki? Mfano polisi aliyefanya unyama jana Tarime yupo chini ya vyombo vya dola na atapelekwa mahakamani kukutana na mkono wa sheria. Je mlitaki afanywaje ili muone haki imetendeka? Mnahamasisha misingi ya sheria na sheria zenyewe ndio zinataka hivyo mtu apelekwe mahakamani akapate haki ya kujitetea.

Unashindwa kuelewa point ya msingi au tu hutaki kuelewa. Tatizo ni kwamba rais amekuwa mwepesi sana kutoa matamko na makatazo ya hovyo hovyo hadharani. Lakini, amekuwa mzito au kimnya kabisa kwenye majanga na dhulma zinazoendelea chini ya utawala wake. Kwa mfano, kuuwawa kwa watu mikononi mwa polisi au kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Pia tamko jipya kuhusu serikali yake kunyima watu chakula kama hawataki kulima....na mengineyo.

Kukaa kimnya kwa rais dhidi ya matukio ya dhulma, inaleta hisia kwamba anahusika au anaunga mkono matukio hayo ili kuendeleza uoga na hofu kubwa miongoni mwa jamii. Haya ni matukio ambayo angetakiwa kuyazungumzia hadharani na sio kutisha tu wananchi wakitaka kufanya maandamano ya amani, ambayo kiini chake ni pamoja na dhulma kama hizo nilizozitaja juu.
 
Kosa afanye polisi lawama kwa Rais so mnataka afukuze jeshi lote ndipo muone ametenda haki? Mfano polisi aliyefanya unyama jana Tarime yupo chini ya vyombo vya dola na atapelekwa mahakamani kukutana na mkono wa sheria. Je mlitaki afanywaje ili muone haki imetendeka? Mnahamasisha misingi ya sheria na sheria zenyewe ndio zinataka hivyo mtu apelekwe mahakamani akapate haki ya kujitetea.

Unashindwa kuelewa point ya msingi au tu hutaki kuelewa. Tatizo ni kwamba rais amekuwa mwepesi sana kutoa matamko na makatazo ya hovyo hovyo hadharani. Lakini, amekuwa mzito au kimnya kabisa kwenye majanga na dhulma zinazoendelea chini ya utawala wake. Kwa mfano, kuuwawa kwa watu mikononi mwa polisi au kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Pia tamko jipya kuhusu serikali yake kunyima watu chakula kama hawataki kulima....na mengineyo.

Kukaa kimnya kwa rais dhidi ya matukio ya dhulma, inaleta hisia kwamba anahusika au anaunga mkono matukio hayo ili kuendeleza uoga na hofu kubwa miongoni mwa jamii. Haya ni matukio ambayo angetakiwa kuyazungumzia hadharani na sio kutisha tu wananchi wakitaka kufanya maandamano ya amani, ambayo kiini chake ni pamoja na dhulma kama hizo nilizozitaja juu.
 
Ni jukumu lako wewe mwenyewe kujitathimini namna gani uishi humu nchini. Kama utaamua kuishi kama raia mwema kwa kufuata utaratibu na kuheshimu mamlaka iliyopo au kuamua kutunishiana misuli na mamlaka iliyopo, hilo ni jukumu lako. Sasa, kabla haujaanza kuwalaumu watu kuwa wanakuonea, kwanza wewe jiangalie ni wapi umekosea hadi unachukuliwa hatua za kisheria? Msipende kuwa walalamikaji tu bila kutafuta njia sahihi ya kutatua matatizo yenu. Mkikaa kulalamika tu, hadi jamii itawachoka!
sasa sema kosa lakuchomwa kisu la huyo mdogowake heche ni nini maana naona mnataka kutunga kama kawaida yenu
 
Polisi ina hitaji overhaul, kwa sasa ni ngumu kuwatofautisha hawa jamaa na wale vibaka wa unga limited.
Polisi ni wahalifu na ndio maana wana deviate kutoka kwenye wajibu wao wa kulinda usalama na mali za raia mpaka kuwatisha, kuwaibia, kuwa nyanyasa, kuwapiga na Kuchoma visu watu ukiacha mbali kuwapiga risasi.
Polisi are murderers!
 
Siku ambayo nchi hii itakombolewa ndio siku ambayo Jeshi la polisi litafutiliwa mbali , Hata mwl Nyerere hakubaki na polisi wa kikoloni baada ya ule uhuru wa bendera mwaka 61
Anzeni kufanya ukarabati wa ofisi zenu nyie. Sio kukaa kulia lia kila siku oh nchi hii itakombolewa. Ikombolewe mara ngapi? Shetani ilaani chadema.
 
Kosa afanye polisi lawama kwa Rais so mnataka afukuze jeshi lote ndipo muone ametenda haki? Mfano polisi aliyefanya unyama jana Tarime yupo chini ya vyombo vya dola na atapelekwa mahakamani kukutana na mkono wa sheria. Je mlitaki afanywaje ili muone haki imetendeka? Mnahamasisha misingi ya sheria na sheria zenyewe ndio zinataka hivyo mtu apelekwe mahakamani akapate haki ya kujitetea.

Ni jukumu lako wewe mwenyewe kujitathimini namna gani uishi humu nchini. Kama utaamua kuishi kama raia mwema kwa kufuata utaratibu na kuheshimu mamlaka iliyopo au kuamua kutunishiana misuli na mamlaka iliyopo, hilo ni jukumu lako. Sasa, kabla haujaanza kuwalaumu watu kuwa wanakuonea, kwanza wewe jiangalie ni wapi umekosea hadi unachukuliwa hatua za kisheria? Msipende kuwa walalamikaji tu bila kutafuta njia sahihi ya kutatua matatizo yenu. Mkikaa kulalamika tu, hadi jamii itawachoka!

Fikiria kama binti yetu yule aliye uliwa kwa kupigwa risasi wakati police wanasema wanadhibiti maandamano. DPP amefunga kesi kwa kuwa anasema "wameshindwa" kutambua ni askari yupi aliyehusika. Ni wazi haki haikutendeka kwa yule binti. Lakini kwenye maandamano yetu ni wengi walio uwawa. Hapa ungetegemea wakubwa wanaohusika kuchunguza kama vifo hivi ni vya lazima. Kwa mfano ni lazima kutumia risasi za moto? Mara nyingi wanaouwawa ni watanzania ambao hawakua wana uhisiano na maandamano haya. Hili lilitokea kule Morogoro na mtu wa magazeti kuuwawa. Mwandishi wa habari nafikiri ni Mwangosi aliuwawa na polisi walianza kujisafisha bahati mbaya kwao kulikuwa na picha. Hivyo mwenendo wa polisi kwenye kudhibiti mikusanyiko inatakiwa iangaliwe.
Sasa kama wananchi wengi wanafia kwenye mikono ya polisi-ni kitu cha muhimu kuangalia nini kinatokea, kusema tu askari mhusika atachukuliwa hatua haitoshi. Swali ni je weledi wa jeshi una elekea wapi, nidhamu ikoje na kuna linaloweza kufanyika kupunguza matukio haya?
 
Back
Top Bottom