Kifaa cha kupimia joto la mwili wa binadamu kijulikanacho kama "thermometer", hakiwezi kua kienezi cha baadhi ya magonjwa ya binadamu?..mf: magonjwa ya ngozi na mengineyo kama hayo, kwa sababu nimechunguza kwenye vituo vingi vya afya, na nmegundua kua kikiwekwa kweny kwapa la mgonjwa na kumaliza...
Kamwe hutoweza kujifunza usipokubali makosa..Leo kafanya hvyo hapa, kesho ataandika application letter kwa mtindo huu., je hajakosa kazi hapo??..ww ndio uache ligi zisizo na maana...fikiri kabla ya kutenda mkuu.
Akhsante kwa kunijuza mkuu..laiti ungelijua jazba niliyonayo hapa kuhusu huyo mwalimu, nadhan ungenihurumia..ndio maana nimeona kabla sijafanya uwamuz wwte, nianzie hapa kwanza jamvini, walau nikifika mbele zaidi nijue ntamkabili vipi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.