Expats si ndio ?. Ha ha ha ha haaaaa. Yaani mtu akae jobless India wakati kuna pa kuponea kwa Mo. Advisory imefeli. Wakigomea hizo kazi mje mnijulishe.
Kanisa la Mungu hili. Wamosionari walianzia Kenya wakaenea kupiyia mwambao wa ziwa victoria na si kweli kama ni kanisa la kina ngosha kama inavyopotoshwa. Mtu yeyote anakatibishwa kupokea neema
Lakini wakati ukifika..... NITAICHOMA DUNIA YOTE.
Jana ilikua siku takatifu ya muhimu sana kwa wakristo wote Duniani. Tulikua tunaadhimisha kuzaliwa kwa bwana wetu YESU KRISTO. Masia wetu. Ilikua Krismas.
Ukitaja krismas hakuna asieijua siku hii. Nakumbuka kijijini kwetu Shilabela ni siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.