Recent content by Xtrimist

  1. Xtrimist

    Mke aliniibia katoroka leo anaomba msamaha arudi

    Paka akisha lala nje c paka tena huyo ni kimbulu
  2. Xtrimist

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Mbunge wangu Mh.Chambo (ashk majinun) umeonesha upeo mdogo wa uelewa wa hili sakata la Escrow.. hukujua unachoongea hukua hata na data ulikuwa kichama zaidi kuliko kitaifa Kwa hayo machache wewe ni Kopo tupu
  3. Xtrimist

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Nililijua mapema ni lazima mawaziri watolewe kwa kupenda au kutokupenda ili kumponya Pinda..
  4. Xtrimist

    Kamati ya Maridhiano Yagonga Mwamba

    Ni aibu kubwa sana kwa serikali kukumbatia mafisadi wezi ambao wameshathibitishwa na vyombo husika vya serikali yenyewe na ikiwemo kamati ya bunge PAC..kuna kitu hapa Asante sana wapinzani na wote wanaafiki mapendekezo ya PAC kwa kutotetea uovu
  5. Xtrimist

    Hatimaye nimesalitiwa tena

    shukuru hata huyo kakuambia.. Usiwaze sana,jipange kivingine
  6. Xtrimist

    Hivi kati ya Lissu na Werema nani Mwanasheria Mkuu?

    Mwenyekiti wako wa CCM anatambua uwezo wa LIsu..ni bora Dr.Silaa awe rais kuliko Lisu kupata ubunge
  7. Xtrimist

    Mbunge Assumpter N. Mshama

    Box 64, Kyaka. 21494, Dar Es Salaam hizi ni adresi mbili tofauti mkuu yaan unaweza kumpata kwa anuani ya Kyaka au Dar.. Kwenye suala la kutoa hoja hana tofauti na Hawa fujo na Mh Chambo (ashk majinuni)
  8. Xtrimist

    Hotuba ya Rais Prof Jakaya Kikwete, Ukumbini Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

    Na huku bunge limeahirishwa mpaka saa moja jioni kwa taarifa ya kuwa kamati iliyoundwa bado iko kwenye majadiliano..
  9. Xtrimist

    CCM hakuna namna nyingine zaidi ya umpigia magoti Mbowe

    Ni ukweli usiopingika.. Type ya kina Lusinde,Asumptha,ashki majinuni nk hawana uwezo wa kuona haya
  10. Xtrimist

    Mhongo katudanganya tena kuhusu kukatika kwa umeme

    Sijawahi kuona waziri muongo kama prof. Muhongo.. huyu baba ana dharau,majisifu,majivuno na kujiona ndie mwenye akili nchi nzima
  11. Xtrimist

    Livingstone Lusinde aibu hii utaiweka wapi?

    Bila kumsahau ashki majinuni na Asumpta mshama.. Mjadala mzito kwa kuliokoa Taifa wanaongea pumba tupu
  12. Xtrimist

    uzito wa maneno ya viongozi.

    Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya udhaifu wa Rais Kikwete..JM Naibu spika: Futa kauli JM:Sifuti kauli
Back
Top Bottom