Wakuu habari,
Eti kuna ukweli wowote kwamba ukiwa unashinda mara kwa mara kwenye betting hususani football betting haya makampuni huwa wanafunga account yako ili usiendelee kuwapiga hela??nazungumzia makampuni yote ya kubet yaliosajiliwa hapa tz na hata Yale ya nje.je hili swala Lina ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.