Ule muunganiko ni zaidi ya lock haiwezi kuachia ata kwa bahati mbaya. Umewahi kuona semi imeanguka na horse ikachomoka ikaacha trailer yake!????? Hapana
Sasa mimi nlisema nin na wew unasema nin, nlimbishia aliyetoa hiyo nkisema aache uongo.. wew ukadakia na kusema sielew chochot na ukaniita muuza sokoni ingawa sio mbaya kuw muuza sokoni! Sasa wew unasema nin
Rejea post #24, ikitokea polisi wapo kuanzia wawili na kuendelea..akapita mkubwa kicheo kuanzia nyota moja na kuendelea atakae waweka attention wenzie na kupiga salute ni yule atakaekuwa senior kicheo au kinamba (senior nco au senior constable)na sio kwamba wote mtakao kuwa hapo mtasimama na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.