Recent content by xnad

  1. xnad

    TBS: Mchele, mafuta ya kupikia ya alizeti na maharage kutoka Marekani, ni Salama kwa Walaji

    Umesema sio nchi ya kusaidiwa kwa vigezo gani? Nchi imeweza kulisha wanafunzi mashuleni? Maana msaada ulikua kwaajili ya kupeleka mchele mashuleni. Sasa sisi serikali inalisha shule za kata? Eti Mabeberu,? ushabiki wa kishabiki wa kujionyesha kama unaelewa unayoyaongea. Mbona walipoleta mradi...
  2. xnad

    TBS: Mchele, mafuta ya kupikia ya alizeti na maharage kutoka Marekani, ni Salama kwa Walaji

    Tatizo kubwa ni Elimu Tu. Na ulimbukeni, eti hatuhitaji huo msaada, yaani watanzania tunahitaji kuelimishwa maana ata ukisoma michango ya watu kweli inasikitisha. kabla ya kujibu emm tembelea shule za kata za msingi. jaribu kuuliza kuhusu chakula uone majibu utakayopewa. Yaani mtoto wa maskini...
  3. xnad

    Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

    Bima iko kwenye hospitali za serikali na za binafsi. Kuna sababu wagonjwa wanakimbilia kwenye hospitali binafsi kuliko za serikali. Kama ambavyo viongozi wanakimbilia kutibiwa nje, saa nyingine anaenda kutibiwa nje kupitia bima ambayo ata apa ndani ya nchi angepata huduma. Sema ndo ivyo ukweli...
  4. xnad

    Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

    soma kwanza nilioandika alaf tumia akili kujibu sio vijembe vya uswahilini.
  5. xnad

    Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

    tofauti kubwa mheshimiwa ni kua wewe umelipa cash. hivyo mtu anaweza kuitumia iyo cash kurejesha vifaa tiba na madawa aliokua ameyatumia kukuhudumia wewe na kuyatumia kutoa huduma kwa wagonjwa wengine. Waambia kua unataka hiyo huduma kwa mkopo uone kama watakubali na ata wakikubali uone bei...
  6. xnad

    Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

    kama wanataka wote walipwe 1m basi nawao walipe cash kama mwenzao anavyolipa cash. mbona jambo rahisi tu.
  7. xnad

    Serikali ipongezwe kwa hili la jambo la Bima

    uelewa wako mdogo sana. rudia kusoma alaf ufananishe na majibu uliyotoa
  8. xnad

    Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

    mwenye video ya gigy money usibaki nayo peke yako share maconnnection
  9. xnad

    Hiki ni nini? Naombeni ushauri nachanganyikiwa. Nimekopa Milioni 14 natakiwa kurudisha Milioni 39

    Umeongea kama vile muelewa kumbe hamna kitu, Sasa Apo NMB na CRDB ndo unadhani mkopo kwa kipindi cha miaka 8 utakua tofauti? Nenda bank nyingine waombe waununue mkopo wako na ubadilishe vigezo uombe kulipa ndani ya miaka miwili au mitatu. Riba itakua ndogo ila makato yatakua makubwa Mfano...
  10. xnad

    Naulizia Unlimited Bandle ya INTERNET

    tupe details, lina spidi?
  11. xnad

    Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

    bank sasaiv wanatoa uwakala njia ya sim. changamoto yake haitoi receipt ila ni mwanzo mzuri hukosi wateja wachache waelewa
  12. xnad

    Commission ya biashara ya wakala

    Naomba mawazo yako ndugu yangu
  13. xnad

    Commission ya biashara ya wakala

    Asante, Ubarikiwe mno
  14. xnad

    Commission ya biashara ya wakala

    Mheshimiwa nawezaje kupata Uwakala Mkuu?
  15. xnad

    Commission ya biashara ya wakala

    Niko Korogwe Mkuu
Back
Top Bottom