xnad
Member
- May 22, 2013
- 24
- 42
Wakuu na wazoefu wa hii bishara naombeni kupata mawazo yenu kuhusiana na hali ya hii biashara kwa sasa. Nimewekeza mtaji wa karibia 6m lakini kamishen bado nikitoa gharama nabaki na 200k
Nimefanikiwa kupata location nzuri na nimekua nikiifanya hii biashara kwa takriban miaka miwili, naombeni msaada wa kimawazo wa namna ya kuboost commission za mwisho wa mwezi.
Ni biashara gani zingine ambazo mtu anaweza kufanya zinazoendana sambamba na hii biashara?
Asanteni sana
Nimefanikiwa kupata location nzuri na nimekua nikiifanya hii biashara kwa takriban miaka miwili, naombeni msaada wa kimawazo wa namna ya kuboost commission za mwisho wa mwezi.
Ni biashara gani zingine ambazo mtu anaweza kufanya zinazoendana sambamba na hii biashara?
Asanteni sana