amchanechane Kikwete tena kwenye jukwaa la kampeni!!!,
kwani mh. Kikwete ametangaza tena kugombea urais?
yeye awachane wenzie wanaosimama majukwaani pia,amwache mstaafu mtarajiwa wa watu maana yeye tayari ameshajipumzisha na mambo ya siasa,anashighulika na shughuli za kiutendaji zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.