Kwa hali hii tunastahili kutawaliwa mtu na utimamu unajadili habari za wafu,moto unapozimika hurud katika hali ya kutokuwepo vivohivyo mwanadamu akifa hurud katika hali ya kutokuwepo,muwasilisha maada acha kupotosha umma ,tumeruhusu akili ndogo itawale akili kubwa
jamii forum walijualo ni kulaumu kuchukua hatua hawataki kazi ni ipo siku itafika huo ni ujinga wa akili mahakama zipo nendeni mfungue mashitaka ,semeni mnataka nini?
Wengi wenu mmetoa lawama kuonekana mna huzuni sana lakin ni unafiki tu mnatumia mauti ya mwanafunzi kuiponda serikali kwa itakadi ya vyama vyenu hakuna lolote zaidi ya uccm na uchadema humu ndani
Takwimu aliyowahi toa msigwa kwamba asilimia 40% ya watoto wanaozaliwa wameduwaana wewe umo,unataka kuongozwa kwa kingereza kweli,tunataka mtu mwenye maamuz kama bulldozer yetu magu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.