Recent content by xhankaraaaa

  1. X

    Karibu chatroom: Uliza chochote kuhusu makaburini, mochwari na wafu

    Axante sana,bwa mshana unaweza kunipa fact kuhusu wafu tupilia mbali suala la imani
  2. X

    Karibu chatroom: Uliza chochote kuhusu makaburini, mochwari na wafu

    Kwa hali hii tunastahili kutawaliwa mtu na utimamu unajadili habari za wafu,moto unapozimika hurud katika hali ya kutokuwepo vivohivyo mwanadamu akifa hurud katika hali ya kutokuwepo,muwasilisha maada acha kupotosha umma ,tumeruhusu akili ndogo itawale akili kubwa
  3. X

    SERIKALI: Tumepata pigo kifo cha Mwanafunzi NIT, tutagharamia msiba na mazishi

    Suala la chadema kurusha mawe ni wajibu wa wananchi?
  4. X

    Rais Magufuli asikitishwa na kifo cha Mwanafunzi wa NIT, aliyeuawa na Polisi

    jamii forum walijualo ni kulaumu kuchukua hatua hawataki kazi ni ipo siku itafika huo ni ujinga wa akili mahakama zipo nendeni mfungue mashitaka ,semeni mnataka nini?
  5. X

    SERIKALI: Tumepata pigo kifo cha Mwanafunzi NIT, tutagharamia msiba na mazishi

    Wengi wenu mmetoa lawama kuonekana mna huzuni sana lakin ni unafiki tu mnatumia mauti ya mwanafunzi kuiponda serikali kwa itakadi ya vyama vyenu hakuna lolote zaidi ya uccm na uchadema humu ndani
  6. X

    Ansbert Ngurumo: Taifa linaelekea pabaya sana

    Opposition wataoppose everything na kupropose nothing
  7. X

    South Africa: President Jacob Zuma agrees to resign his office with immediate effect

    Nakupongeza sana mweshimiwa zuma kwa maamuzi mazuri ya kujiuzulu huo ni ukomavu kifikra na kulitakia taifa amani
  8. X

    Mwaka 2020 tujitahidi kuchagua kiongozi anayejua Lugha ya kingereza vizuri

    Takwimu aliyowahi toa msigwa kwamba asilimia 40% ya watoto wanaozaliwa wameduwaana wewe umo,unataka kuongozwa kwa kingereza kweli,tunataka mtu mwenye maamuz kama bulldozer yetu magu
  9. X

    Mapungufu makubwa ya kuhamisha Walimu kutoka Sekondari kwenda kufundisha Shule za msingi

    Mkuu nashukuru kwa hekima pokea standing ovation yangu
  10. X

    Wanaume wa Jf walivyo!...

    Mpaka hpo we una sura mbaya unadhani tutaelewa kinyume wewe ni mbaya
  11. X

    Wanaume wa Jf walivyo!...

    Weka sura yako mbaya kama nini mwanamke wewe
  12. X

    Huyu mwanaume ameniambia ataniua, nashindwa kujua amedhamiria nini kwangu

    Yawezekana kabisa kauli zako ni mbaya hadi zinamfirikisha kukuua haiwezekani mbona kama hamjagombana hasemi
Back
Top Bottom