Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza hapa dar, ila nina cheti cha diploma ya maabara za viwandani.
Nimekwama sina ada ya mwaka wa pili, sikupata mkopo. Msaada wenu hata kama nikisaidiwa nifanye kazi za shift ya usiku
Habari wanajamii nina shida na mtu anaesoma molecular biology and biotechnology UDSM, vizur zaid awe mwaka wa kwanza. Kama yupo anitumie text kwenye namba 0768724501. Asanteni wapendwa
Mimi ni miongoni mwa wahitimu wa diploma tuliochaguliwa kujiunga na shahada ya kwanza katika fani za kipaumbele. Naomba kuwaulizeni hivi mikopo watu wa diploma haituhusu kwa mwaka huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.