Hyo inawezekana japo ujue itakuchukua miaka mi 3 ukianzia certfct..ila uwezekano wake navoona ni kwa wwe mwnyw kujarbu kubalnc hzo ratba mbili...applctn yake ingia nacte.go.tz jaribu kufwatlia
Kwa mmi mtazamo wangu kama utaweza..anza diploma ya engineering unayoitaka..ila kuptia form six tena ndugu itakubana...uzuri wa diploma unaweza kuwa unasoma huku unatafuta maisha bado
Mimi ni kijana niliemaliza chuo huu mwaka..katika harakat za kutafuta ajira nitakuwa nina uhitaj kidogo..hivo ili kujikimu ninaomba wana JF kwa yoyte anaeweza hitaji mtu wa kumsaidia kazi awe skilled au unskilled anisaidie ili mradi tu nipate chochote kinywani..kama una uhitaji naomba nicheck PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.