KATIKA DHAMBI KUBWA ANAYOTAKA KUICHOTA MH. MAGUFULI NI KUDHULUMU HAKI YA NAFASI YA UMEYA WA DAR, KAFANYA TANGA NA KILOMBERO SASA ANAMALIZIA DAR. MH. MAGUFULI HUONI ? KWANINI TUPANDIKIZE CHUKI KWA BEI NDOGO NAMNA HIYO ? KUNA TATIZO GANI DAR KUONGOZWA NA WATANZANIA NJE YA CCM ?
HAKUFAI KULE KULALA SAA 2, KISA NA MKASA ! MR. TRUMP MGOMBEA WA MAREKANI ALIPOWAPONDA WATAWALA WA KIAFRIKA WATZ WENGI WALIMSEMA KIKO WAPI ? UBAGUZI WENYEWE KWA WENYEWE.
Iko vizuri sana hiyo, Mfanyabiashara anaenda benk kuweka fedha ( fixed a/c ina faida), mlalahoi anaenda benki kuomba kukopa ili awe mjasiliamali.( mkopo una riba ). wa kwanza anapata faida wakati wa pili analipa .
MATUMIZI MABAYA YA RASLIMALI, MADARAKA , JESHI NA MUDA. NASIKIA AMEKAMATWA HOTELINI SAA 7 USIKU, KAMA ILIKUWA LAZIMA AKAMATWE JE ASINGEKAMATWA ASUBUHI KULIKO KUVURUGA BIASHARA NA USINGIZI WA WATU KWA ISSUE YA MAADILI ? akili za hawa jamaa zimeenda likizo kwani kwa vitendo hivyo upinzani...
Shukuru sana Magufuli kwa kuamua kuzingatia madai ya muda mrefu ya wapinzani , kwa sasa kila mtu anasema sasa safi. BILA KELELE ZA WAPINZANI MAJIPU HAYATOBOLEWI WALA KUPASULIWA.
WAJINGA WATAAMINI MANENO YA MWISHO YA MTALIANO , WENYE AKILI TUNAJUA KAOMBWA AKANUSHE KWA KUPEWA ALICHOPEWA, KWANINI AKINA MAKAMBA WALIKIRI ILI HALI SIYO YA KWELI ?. MTALIANO KAPIGA DILI TU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.