Uchaguzi wa Meya Dar Waota Mbawa

Uchaguzi wa Meya Dar Waota Mbawa

Na-declare interest kwanza kuwa miye siyo mwanachama wala mfuasi na shabiki wa chama chochote cha siasa hapa nchini. Hili la ccm kutaka kila kitu kiwe upande wao ni tatizo litakalokuja tuingiza kwenye machafuko siku za usoni. Wao wana rais ambaye akiamua hata kesho kuvifuta vyama vya siasa anaweza. Ni kwanini wauhadae ulimwengu kuwa nchi hii kuna demokrasia wakati sivyo? Hebu wajitafari tena na kuacha chaguzi ziwe huru na haki. Waache kupoteza muda wa wengine.
Waache chaguzi ziwe huru na haki hao sio ccm katu hawawezi kufanya kosa hilo wamesha amua ni dhuluma kujumlisha na kutoa.
 
Kauli ambayo miaka yote CCM imekuwa ikiitoa ni kwamba "msichague upinzani, wataleta vita!" Tangu nikiwa O-Level enzi zile; pamoja na uelewa wangu mdogo; bado sikuacha kujiuliza "sasa mtu umeshamchagua na yupo madarakani; aanzishe vita kwa maslahi ya nani?" Tayari nilishakuwa na ulewa kwamba aanzishae vita ni yule anayeshindwa uchaguzi na hapo kupata jibu kwamba kumbe CCM wanachowaambia wananchi ni kwamba, wakichagua upinzani, wao CCM wataingia msituni!!

Nakiri kwa nafsi huku Mungu akiniona na anipe adhabu yoyote ikiwa nitakuwa naongea uongo! Hapo zamani, niliamini CCM wasingeweza kufanya hivyo hata kama kweli wanashindwa uchaguzi! Kinyume chake hivi sasa; kila ninapoangalia wanavyong'aninia umeya Dar es salaam... ikiwa na maana kwamba hawakubali kuiacha Dar es salaam; ndipo hivi sasa najiuliza ikiwa kuiacha Dar es salaam tu ni kwa mbinde namna hii; je ni kweli hawa watu wanaweza kuwa tayari kuiacha nchi nzima?! Nikachanganya na yale ya Zanzibar shaka yangu inaongezeka maradufu.
  • CCM mnanitisha
  • CCM mnanitia hofu
  • CCM mnanifanya nifikirie ni-conclude kwamba amani tuliyonayo nchi mwetu haitokani na CCM bali inatokana na upinzani kukubali kushindwa bila kujali ikiwa ni kushindwa huko ni kwa halali au hapana!
  • Ikiwa kuachia mkoa mmoja wa Dar es salaam mnaona taabu hadi mnafikia hatua ya kufoji hadi hati za mahakama; hivi kweli mtakuwa tayari kuachia mikoa yote 26 nyinyi?!
Mkuu umenena vyema kabisa,hongera.
 
Kuna barua ya CUF ya tarehe 17th March 2016, kwa Spika wa bunge kuhusu kujiuzuru nafasi zao zote za ubunge wa Zanzibar na Tanzania Bara je ni kweli? si deep green watapenyea hapo....
Ni uzushi tu na wameshakanusha, hakuna kitu kama hicho ni mbinu chafu toka CCM hasa kwa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa Meya wa jiji.
 
Yani hiki chama aisee,.kipo juu ya sheria, wakifanya wenzao ni kosa, kwani uchaguzi huu wa mameya lubuva hayupo kwa pande hii, manake hata tukienda mahakamani hawa washaambiwa kama hawakupita mtu hana kazi
 
KATIKA DHAMBI KUBWA ANAYOTAKA KUICHOTA MH. MAGUFULI NI KUDHULUMU HAKI YA NAFASI YA UMEYA WA DAR, KAFANYA TANGA NA KILOMBERO SASA ANAMALIZIA DAR. MH. MAGUFULI HUONI ? KWANINI TUPANDIKIZE CHUKI KWA BEI NDOGO NAMNA HIYO ? KUNA TATIZO GANI DAR KUONGOZWA NA WATANZANIA NJE YA CCM ?
 
Ndo wote tujue kuwa IDD Amin Dadaa karudi kwa staili mpya East Africa
 
Kauli ambayo miaka yote CCM imekuwa ikiitoa ni kwamba "msichague upinzani, wataleta vita!" Tangu nikiwa O-Level enzi zile; pamoja na uelewa wangu mdogo; bado sikuacha kujiuliza "sasa mtu umeshamchagua na yupo madarakani; aanzishe vita kwa maslahi ya nani?" Tayari nilishakuwa na ulewa kwamba aanzishae vita ni yule anayeshindwa uchaguzi na hapo kupata jibu kwamba kumbe CCM wanachowaambia wananchi ni kwamba, wakichagua upinzani, wao CCM wataingia msituni!!

Nakiri kwa nafsi huku Mungu akiniona na anipe adhabu yoyote ikiwa nitakuwa naongea uongo! Hapo zamani, niliamini CCM wasingeweza kufanya hivyo hata kama kweli wanashindwa uchaguzi! Kinyume chake hivi sasa; kila ninapoangalia wanavyong'aninia umeya Dar es salaam... ikiwa na maana kwamba hawakubali kuiacha Dar es salaam; ndipo hivi sasa najiuliza ikiwa kuiacha Dar es salaam tu ni kwa mbinde namna hii; je ni kweli hawa watu wanaweza kuwa tayari kuiacha nchi nzima?! Nikachanganya na yale ya Zanzibar shaka yangu inaongezeka maradufu.
  • CCM mnanitisha
  • CCM mnanitia hofu
  • CCM mnanifanya nifikirie ni-conclude kwamba amani tuliyonayo nchi mwetu haitokani na CCM bali inatokana na upinzani kukubali kushindwa bila kujali ikiwa ni kushindwa huko ni kwa halali au hapana!
  • Ikiwa kuachia mkoa mmoja wa Dar es salaam mnaona taabu hadi mnafikia hatua ya kufoji hadi hati za mahakama; hivi kweli mtakuwa tayari kuachia mikoa yote 26 nyinyi?!

Na mimi nasema kwa kuwa tayari mbinu zao chafu zimeshagunduliwa toka mwanzo wa zoezi zima la umeya wa jiji la Dar hadi kufikia hata kusema uongo juu ya zuio la uongo la mahakama na hatua za kisheria zisichukuliwe dhidi yao. Basi hata kwa hila hizo hizo wakishinda kesi waliyofungua mahakamani ukawa susieni uchaguzi huenda kuna roho inatafutwa hapo kuangamizwa. Vivyo hivyo wakikataa wananchi kuingia ukumbini kushuhudia uchafuzi huo kama sheria inavyowataka susieni uchaguzi muende mahakamani kuwa sheria inavunjwa walazimiahwe na mahakama.Mkishiriki peke yenu mtawakura mamluki wameshaingizwa ukumbini na mtalazimishwa kupiga kura.Mkikataa hamtatoka wote huko ukumbini mkiwa salama.Eleweni nyie ni wapinzani wala haiwapi shida kuwatofautisha na hamtakuwa na ushahidi wa mtu baki atakaewatolea ushahidi endapo mtaumizwa huko ukumbini.Wakiwemo wananchi watawatolea ushahidi.
 
Kuna barua ya CUF ya tarehe 17th March 2016, kwa Spika wa bunge kuhusu kujiuzuru nafasi zao zote za ubunge wa Zanzibar na Tanzania Bara je ni kweli? si deep green watapenyea hapo....
kama walifoji nyaraka za mahakani watashindwa nini ? watu wanaojiheshimu kabisa kabisa hivi sasa hawajihusishi na ccm , ni aibu ! mahakama inadhalilishwa hivihivi !
 
Mkuu geraldkowero1,
Kwa kweli hili la kususia uchaguzi binafsi wala sifahamu afadhali yake ni ipi! Unajua raha ya kususa chakula, basi yule unayemsusia aone aibu!Lakini unakuta jitu lingine unalisusia kula ndo kwanza linakazana kukata mitonge mizito ya fasta fasta ili kama utaamua kurudi tena kwenye sinia, ukute keshamaliza!

Sasa hili CCM hili wala halioni aibu kususiwa... sana sana linashukuru! Watakachofanya ni kupanga watu kadhaa wakampigie kura Maalim Seif ili ionekane hata wafuasi wa CUF walijitokeza!!
 
Mkuu geraldkowero1,
Kwa kweli hili la kususia uchaguzi binafsi wala sifahamu afadhali yake ni ipi! Unajua raha ya kususa chakula, basi yule unayemsusia aone aibu!Lakini unakuta jitu lingine unalisusia kula ndo kwanza linakazana kukata mitonge mizito ya fasta fasta ili kama utaamua kurudi tena kwenye sinia, ukute keshamaliza!

Sasa hili CCM hili wala halioni aibu kususiwa... sana sana linashukuru! Watakachofanya ni kupanga watu kadhaa wakampigie kura Maalim Seif ili ionekane hata wafuasi wa CUF walijitokeza!!
Mkuu geraldkowero1,
Kwa kweli hili la kususia uchaguzi binafsi wala sifahamu afadhali yake ni ipi! Unajua raha ya kususa chakula, basi yule unayemsusia aone aibu!Lakini unakuta jitu lingine unalisusia kula ndo kwanza linakazana kukata mitonge mizito ya fasta fasta ili kama utaamua kurudi tena kwenye sinia, ukute keshamaliza!

Sasa hili CCM hili wala halioni aibu kususiwa... sana sana linashukuru! Watakachofanya ni kupanga watu kadhaa wakampigie kura Maalim Seif ili ionekane hata wafuasi wa CUF walijitokeza!!
Nimecheka japo kwa hasira.Najisikia aibu kuujita MTZ mbaya zaidi wachungaji mapadri na mashehe ubwabwa wako kimya utadhani wamesafiri wote kwa ujumla wao wamebaki kuwadanganya watz eti wadumishe amani inayotaka kupotea
 
Ukifuatilia mambo ambayo ccm wanafanya mfano suala moja tu hili la umeya ndipo utajua ni jinsi gani wameleta umasikini Tanzania!
Siku za mbeleni tafiti zitatanabaisha ukweli huu na watakaokuwepo watatamani wafukue hata mifupa ya wana ccm na kuichapa viboko.
 
ngojeni wamalize ya zanzibar
mtajionea vioja vya mfalme JUHA.
 
Back
Top Bottom