Recent content by Wrevta

  1. Wrevta

    JamiiForums Tanzania Mkataba wa Taikon na Mchungaji Jonathan Kanjunju kuhusu ushirika wangu katika kanisa lake

    So una hulka ya upole... Fine na vipi kupiga mwanamke? Unafahamu?
  2. Wrevta

    JamiiForums Tanzania Kuna anayefahamu kanisa la Shincheonji hapa Tanzania?

    Habarini nyote. Nawiwa kuja kwenu, kuuliza kuhusiana na undani wa hii cult, au hili kanisa linaloitwa Shincheonji Tanzania. Nimekutana na watu na nimefanyiwa uinjilishaji, mpaka muda huu nasoma kwenye center yao. Suala ni kwamba naona ni kama sielezwi kwa uwazi baadhi ya mambo. Kiukweli nina...
  3. Wrevta

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kivipi wanawake 'wana run' dunia?

    Ngoja nikae kimya
  4. Wrevta

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina homa ila mwili wangu una joto kali

    Naomba niende madani moja kwa moja! Sikuijua hali hii mpaka siku moja dada mmoja aliponikaribia na kuhisi joto mno. Tukapeana mikono akashangaa mno mwili wangu una joto. Mbali na wakati huo pia mara nyingi kwa nyakati tofauti mwili wangu unakuwa na joto kali ila sihisi chochote. Sina homa wal...
  5. Wrevta

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bi. Khadija MKE wa Mtume Muhammad ndio Sampuli ya Mke Bora ambaye unaweza kufanya naye Maisha

    [emoji23][emoji23][emoji23] wewe mama wewe
  6. Wrevta

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bi. Khadija MKE wa Mtume Muhammad ndio Sampuli ya Mke Bora ambaye unaweza kufanya naye Maisha

    Kiranga unakaba mpaka penalt mzee[emoji38] mpaka jina unalitoa dosari...!
  7. Wrevta

    JamiiForums Tanzania Ukishiba akili ina vapor!

    Nawasalimia kwa jina la DP world, bandari haitoki. Leo naungana na hili la kushiba chakula/wali/ugali na kuhusishwa na kupungua kwa akili. Ni hakika! Ukishashiba ndipo mawazo ya kijinga huja, ndipo tamaa mbaya huja. Na hata kufikiria kunakuwa shallow mara nyingi. Kwa hiyo solution ni je...
  8. Wrevta

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop inauzwa

    Habarini waungwana! Ni hp intel laptop RAM ni 8GB HDD ni 500GB CPU ni @2.4GHz 3 USB ports Ethernet port Wifi Adapter ipo Battery ni 30 min Kioo kina mistari miwili Bei ni 280K TZS tu! Karibuni sana. Nipo Dar es Salaam!
  9. Wrevta

    JamiiForums Tanzania Uliza swali lolote kuhusu FREEMASONRY utapata majibu kwa usahihi

    Brother kuna swali unaliruka mno. Nina maana kubwa. Je, huyo shetani anapokuja hizo siku za J3 huwa ana muonekano upi? Huwa ni Mzungu au Muafrika? Let's say ameamua kuja TZ kwa mfano, ana muonekano wa kizungu?
  10. Wrevta

    JamiiForums Tanzania Wazungu wanamuabudu Mungu gani mbona hawana kabisa hofu ya Mungu?

    Upo sahihi. Hatakiwi yeyote kujiona bora kuliko mwingine. Upo sahihi pia Mungu hataki umuombe sijui mali, sijui pesa nk, ameshakupa vyote toka unazaliwa, yeye muombe afya njema and the like!. Yeye anafurahi unapomshukuru
  11. Wrevta

    JamiiForums Tanzania Wazungu wanamuabudu Mungu gani mbona hawana kabisa hofu ya Mungu?

    Duh! Umenizidi over 37 years... shikamoo mzee!.
  12. Wrevta

    JamiiForums Tanzania Wazungu wanamuabudu Mungu gani mbona hawana kabisa hofu ya Mungu?

    Hahaha kwamba una above that?
  13. Wrevta

    JamiiForums Tanzania Wazungu wanamuabudu Mungu gani mbona hawana kabisa hofu ya Mungu?

    Ni huzuni sana. Yaani utegee kufanya kazi kwa maarifa, uwe mvivu, usijue namna ya kutumia akili, uwe mvivu wa kutafuta maarifa sahihi then unapigika unakimbilia kujishikizia kanisani kama muhubiri na nabii? Daaah! Hili sipingi. Wengi ni njaa tu, rejea yule pastor wa Kenya aliyeacha uchungaji...
Back
Top Bottom