Kama kwl hyo unaemsifia ana nia nzuri na taifa kwnn asitumie mda mwingi kuwaza kupambana kiuchumi kuliko kutumia mda mwingi kuwanyima political space wnasiasa wenzke, anataka asikike yye tyu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani walkuwa wnaishi kijamaa ...wnajuana mpk tabia, nyumba zilikuwa hapa na pale ...hii urbanization imekuja na changamoto zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani chama chake kinaunda serkali?...yeye sio wa kulaumiwa kwani kila siku wnashauri bungeni kuhusu maboresho katika kila sector ikiwemo elimu...je! Ccm iko tayari kuyafanyia kazi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana Padri, hdi viongozi wa dini wakikaa kimya ni nani atakaekemea udhalimu?...hakuna haja ya kumuogopa mtu atakaekufa km ww tyu
Sent using Jamii Forums mobile app
CAG anapata ujasiri kutekeleza kaz ake bila kufungamana na upande wwte kwa sabbu rais anayo madaraka ya kumweka madarakan ila sio ya kumtoa....hyo ni tofaut na kada km mawzir,wakuu wa mikoa, na viongoz wakbw kwny kada mbalimbali wnaowekwa na rais na anaeweza kuwatoa muda wwte...hao lzm wafanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.